Dodoma FM

Izack Enterprises yaja na ofa msimu wa sikukuu

17 December 2025, 5:02 pm

Picha ni Kampuni inayojihusisha na uuzaji wa vifaa vya kielektroniki Izack Enterprises iliyopo Dodoma.Picha na Noah Patrick.

Na Bennard Komba.

Kampuni inayojihusisha na uuzaji wa vifaa vya kielektroniki Izack Enterprises iliyopo Dodoma imekuja na ofa za msimu wa sikukuu lengo ni kuwa karibu na wateja katika huduma zao ambazo wamekuwa wakitoa.

Muandishi wetu Benard Komba ametembelea katika duka hilo na kufanya mahojiano na afisa masoko wa Izack Interprises.

Sauti ya mahojiano.