Dodoma FM

Mashindano ya bao la kiswahili na Draft yatamatika KDC Chang’ombe

19 November 2025, 4:35 pm

Picha ni watu wakicheza bao la kiswahili. Picha na AI.

Mashindano hayo yametamatika katika viwanja vya KDC Chang’ombe jijini Dodoma.

Mashindano ya Draft na bao la kiswahihi yametamatika katika viwanja vya KDC Chang’ombe huku timu mbalimbali zikiibuka na ushindi.

Akiongea na Taswira ya habari Anthony Kalago mratibu wa mashindano hayo ameeleza kuhusu washindi ambao wamepatikana katika mashindano hayo.

Michezo.