Dodoma FM

WHO yathibitisha kupungua kwa magonjwa ya mlipuko

19 November 2025, 4:16 pm

Hatua hii inachukuliwa kuwa ushindi mkubwa katika mapambano dhidi ya maradhi.Picha na Habari leo.

WHO inathibisha kupungua kwa kiwango kikubwa kwa magonjwa ya mlipuko.

Na Anwary Shaban.
Shirika la Afya Duniani – WHO – limethibitisha kupungua kwa kiwango kikubwa kwa magonjwa ya mlipuko duniani.

Hatua hii inachukuliwa kuwa ushindi mkubwa katika mapambano dhidi ya maradhi yaliyokuwa yakiua watu wengi.

Habari kamili.