Dodoma FM

Timu za kikapu Dodoma zatakiwa kujipanga kufanya vizuri

6 November 2025, 9:44 am

Picha ni wachezaji wa mpira wa kikapu timu ya wanawake.Picha na Fullshangwe blog.

Na Hamisi Makila

Ligi ya mpira wa kikapu inatarajiwa kufanyika kuanzia Novemba 26 hadi Decemba 6 2025 mkoani Dodoma ikihusisha timu 16 za wanaume na timu 12 za wanawake.

Mchambuzi wa Mpira wa Kikapu Bon Charles amezitaka timu hizo kujiandaa kikamilifu ili ziweze kufanya vizuri katika michuano hiyo.

Sauti ya michezo.