Dodoma FM

Vikwazo vinavyowakumba wanawake katika kugombea nafasi za uongozi

28 October 2025, 2:48 pm

Licha ya changamoto nyingi bado wanawake wanapambana kuwania nafasi za uongozi.Picha na LHCR.

Mitazamo hasi na kutoaminiwa na jamii ni baadhi ya vikwazo vinavyo wakumba wanawake.

Na Mariam Matundu.
Moja ya vikwazo wanavyo kutana navyo wanawake katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa ni mitazamo hasi ya kutokuaminiwa na jamii kutokana na mila na desturi kandamizi dhidi ya wanawake.
Kutana na Jenista Maringo mwanamke wa kwanza kugombea nafasi ya udiwani kata ya Zuzu hapa Dodoma.

Packeg Vikwazo