Wanawake
13 May 2026, 11:51 am
Jamii imeaswa kuwafundisha watoto mabadiliko ya tabianchi
umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Na Stephano Simbeye CHITETE: JAMII imeaswa kuanza kulea watoto na kuwafundisha umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi tangu wakiwa wadogo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa…
7 May 2026, 6:45 pm
Manispaa ya Geita kukamilisha ujenzi wa shule shikizi
Halmashauri inatambua nguvu kubwa inayofanywa na wananchi kwa kujenga shule shikizi na kwa bajeti ijayo tutahakikisha tunakamilisha shule zote zilizoanzishwa kwa nguvu za wananchi – Mkurugenzi Myenzi Na: Ester Mabula Halmashauri ya manispaa ya Geita imejipanga kukamilisha shule shikizi zinazoanzishwa…
8 February 2026, 5:14 pm
Serikali yasitisha mkataba na mkandarasi Kahama
Serikali imesitisha mkataba na mkandarasi Kampuni ya Sichuan Road and Bridge Group(SRBG) aliyekuwa anatekeleza ujenzi wa miradi ya barabara za ndani katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kutokana na kutokuridhishwa na kasi yake katika kutekeleza mradi huo. Hayo yameelezwa na…
23 December 2025, 11:48
SHIMKIATA yakuza mila, tamaduni za asili kwa jamii Kigoma
Asili na jadi ni msingi wa kukuza, kuhifadhi na kuendeleza utamaduni na mila kwa kuzithamini na kuzifundisha kwa vizazi vipya na kuhakikisha jamki inabaki na utambulisho imara huku ikikua na kubadilika katika njia chanya. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa…
2 October 2025, 5:27 pm
Mbukwa: Msijichukulie sheria mkononi kwa kutatua tatizo
Judith Mbukwa mkuu wa dawati la jinsia na watoto Katavi. Picha na Roda Elias “Ripotini vitendo vya ukatili ili jamii iwe salama” Na Roda Elias Jamii mkoani Katavi imetakiwa kuondokana na dhana ya kuogopa vituo vya polisi hususani dawati la…
21 August 2025, 11:12 pm
Bunda: Fundi aliyekwama duarani apatikana akiwa amefariki
Na Edward Lucas. Juma Lutamula (33), mchimbaji katika mgodi wa Walwa uliopo katika machimbo ya Kinyambwiga, amepatikana jioni ya leo akiwa tayari amefariki baada ya kufukiwa na kifusi wakati akifanya kazi ya ujenzi wa duara la uchimbaji. Lutamula alipata ajali…
20 August 2025, 10:31 pm
Mchimbaji afukiwa na kifusi mgodi wa dhahabu
Tukio hilo lilitokea jana tarehe 19 Augost 2025, majira ya saa 12:00 jioni, wakati Lutamula na wenzake walipokuwa katika shughuli ya ukarabati wa duara Na Edward Lucas. Mchimbaji Afukiwa na Kifusi Katika Mgodi wa Dhahabu Juma Lutamula (33), mkazi wa…
22 July 2025, 11:37 pm
RC Sendiga azitaka NGOs kujikita kusaidia jamiiĀ
Mashirika yasiyo ya kiserikali mkoani Manyara yametakiwa kujikita katika shughuli za kuisaidia jamii kwa kutatua changamoto zinazoikabili jamii hususani katika masuala ya lishe bora. Na Angel Munuo Wito huo umetolewa leo na mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga wakati akifungua kikao…
10 February 2025, 2:36 pm
Madiwani wampongeza Rais Samia, Geita mji kuwa Manispaa
Mkutano wa baraza la madiwani umefanyika kwaajili ya uwasilishaji wa changamoto mbalimbali pamoja na mapitio ya utekelezaji miradi kwa kipindi cha kuanzia Oktoba hadi Disemba 2024. Na: Ester Mabula – Geita Baraza la madiwani la Geita mjini limepongeza Rais wa…
25 December 2024, 13:06
Waumini watakiwa kutenda mema na kuacha uovu
Sherehe ya Kristmas kwa mkiristo ni kiashiria cha kukumbuka upendo wa Mungu kwa mwanadamu kwa ujio wa Yesu Kristo mkombozi wa ulimwengu. Na Hobokela Lwinga Wakristo duniani wametakiwa kutenda mema ili kuwa kielelezo kuonyesha kwamba ni wafuasi wa Mungu hali…