Wanawake
27 July 2026, 8:04 pm
Waziri Ndege achangia mifuko 100 ya saruji ujenzi daraja Mamire
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Manyara, Regina Ndege ametoa mifuko 100 ya saruji na kuahidi kutembelea daraja lililokatika kwa mvua zilizopita na linalounganisha kitongoji cha Waloa na…
14 July 2026, 11:38 pm
Zaidi ya wananchi 5,000 Endamaghay wanufaika na mradi wa maji
Zaidi ya wananchi 5,000 kutoka vijiji vitatu vilivyopo wilayani Babati mkoani Manyara, wamenufaika na mradi wa maji wa Endamaghay uliolenga kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama uliogharimu shilingi Bilion 1.9. Na Emmy Peter Mradi huo umezinduliwa na…
16 June 2026, 10:32
Tume ya Haki za Binadamu yatoa mafunzo kwa wavuvi wadogo Mtwara
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imetoa mafunzo kwa wavuvi wadogo Msangamkuu kuhusu haki za binadamu, matumizi sahihi ya rasilimali za bahari na namna ya kushughulikia matukio ya uvunjifu wa haki ili kupunguza migogoro Na Musa Mtepa Tume…
13 May 2026, 11:51 am
Jamii imeaswa kuwafundisha watoto mabadiliko ya tabianchi
umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Na Stephano Simbeye CHITETE: JAMII imeaswa kuanza kulea watoto na kuwafundisha umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi tangu wakiwa wadogo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa…
7 May 2026, 6:45 pm
Manispaa ya Geita kukamilisha ujenzi wa shule shikizi
Halmashauri inatambua nguvu kubwa inayofanywa na wananchi kwa kujenga shule shikizi na kwa bajeti ijayo tutahakikisha tunakamilisha shule zote zilizoanzishwa kwa nguvu za wananchi – Mkurugenzi Myenzi Na: Ester Mabula Halmashauri ya manispaa ya Geita imejipanga kukamilisha shule shikizi zinazoanzishwa…
8 February 2026, 5:14 pm
Serikali yasitisha mkataba na mkandarasi Kahama
Serikali imesitisha mkataba na mkandarasi Kampuni ya Sichuan Road and Bridge Group(SRBG) aliyekuwa anatekeleza ujenzi wa miradi ya barabara za ndani katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kutokana na kutokuridhishwa na kasi yake katika kutekeleza mradi huo. Hayo yameelezwa na…
23 December 2025, 11:48
SHIMKIATA yakuza mila, tamaduni za asili kwa jamii Kigoma
Asili na jadi ni msingi wa kukuza, kuhifadhi na kuendeleza utamaduni na mila kwa kuzithamini na kuzifundisha kwa vizazi vipya na kuhakikisha jamki inabaki na utambulisho imara huku ikikua na kubadilika katika njia chanya. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa…
2 October 2025, 5:27 pm
Mbukwa: Msijichukulie sheria mkononi kwa kutatua tatizo
Judith Mbukwa mkuu wa dawati la jinsia na watoto Katavi. Picha na Roda Elias “Ripotini vitendo vya ukatili ili jamii iwe salama” Na Roda Elias Jamii mkoani Katavi imetakiwa kuondokana na dhana ya kuogopa vituo vya polisi hususani dawati la…
21 August 2025, 11:12 pm
Bunda: Fundi aliyekwama duarani apatikana akiwa amefariki
Na Edward Lucas. Juma Lutamula (33), mchimbaji katika mgodi wa Walwa uliopo katika machimbo ya Kinyambwiga, amepatikana jioni ya leo akiwa tayari amefariki baada ya kufukiwa na kifusi wakati akifanya kazi ya ujenzi wa duara la uchimbaji. Lutamula alipata ajali…
20 August 2025, 10:31 pm
Mchimbaji afukiwa na kifusi mgodi wa dhahabu
Tukio hilo lilitokea jana tarehe 19 Augost 2025, majira ya saa 12:00 jioni, wakati Lutamula na wenzake walipokuwa katika shughuli ya ukarabati wa duara Na Edward Lucas. Mchimbaji Afukiwa na Kifusi Katika Mgodi wa Dhahabu Juma Lutamula (33), mkazi wa…