
Wanawake

8 November 2023, 5:22 pm
Fawe yawafikia wajasiriamali Kusini Unguja
Mafunzo hayo ni utekelezaji wa mradi wa kuwawezesha wanawake kiuchumi unaoendeshwa na FAWE ndani ya mkoa wa Kusini Unguja ambapo jumla ya wajasiriamali 723 wamefikiwa kati ya hao wanawake ni 671 na wanaume ni 53. Na. Ahmed Abdulla. Wajasiriamali kutoka…

6 October 2023, 11:16 am
Wanawake wenye ualbino walalamikia kunyanyapaliwa kwenye mahusiano
Jamii mkoani Tabora imeaswa kuondoa dhana potofu dhidi ya wanawake wenye ualbino pindi wanapohitaji kuingia kwenye ndoa. Zaituni Juma ametuandalia taarifa zaidi baada ya kuwatembelea baadhi ya wanawake na viongozi wa chama cha watu wenye ualbino TAS – Tabora

2 October 2023, 10:44 am
Sekta ya madini kutengeneza mabilionea wanawake nchini
Sekta ya Madini imeendelea kukua kila siku huku kundi la wanawake likionesha nia kubwa ya kuwekeza katika sekta hiyo huku serikali ikiahidi kuwapa kipaumbele. Na Mrisho Sadick: Chama cha wachimbaji wadogo wanawake nchini TAWOMA kimeanzisha Tuzo za Malkia wa Madini…

20 September 2023, 6:59 pm
Jukwaa la Uwezeshaji wanawake Kiuchumi Tanzania laja na Fursa lukuki
Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake wilaya ya Karagwe Leah John amewataka wanawake kutumia fursa za makongamano mbalimbali ili kubadilishana maarifa na kuinuana kiuchumi bila kujali viwango vya vipato vyao. Na. Ospicia Didace Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake wilaya ya Karagwe…

29 August 2023, 3:43 pm
Serikali, wadau kushirikiana kukwamua wanawake kiuchumi
Mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 63.489 imetolewa na kuwanufaisha wanawake zaidi ya 938,800. Na WMJJWM. Serikali itaendelea kushirikiana na wadau ili kuhakikisha wanawake wanapata fursa mbalimbali za kujikwamua kiuchumi na kuendeleza biashara zao. Hayo yamesemwa na Waziri…

14 August 2023, 6:55 pm
Jamii imetakiwa kutohusisha Majukwaa ya wanawake na Siasa
Jamii ya Kata ya Usangule Wilayani Malinyi wametakiwa kutohusisha Majukwaa ya wanawake na mambo ya kisiasa kwani majukwaa hayo yapo kwa ajili ya kuwawezesha wanawake kiuchumi Na Katalina Liombechi Wanawake wa Jukwaa la uwezeshwaji kiuchumi Kata ya Usangule Wilayani Malinyi…

14 August 2023, 1:48 pm
Kipindi: Taasisi zisizo za kiserikali Pemba zinavyowanoa wanawake elimu ya uongo…

8 August 2023, 9:26 am
Kipindi cha mwanamke jitambue-Tumbatu

18 July 2023, 12:52 pm
Wanawake Bahi watakiwa kusimamia maadili ya watoto
Mbunge wa Bahi amesema kipaumbele chake ni kuhakikisha afya ya mama na mtoto inakuwa salama. Na Bernad Magawa. Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Fatuma Taufiq amewaasa wanawake wilayani Bahi kusimamia maadili ya watoto ili kutokomeza viashiria vya…

28 June 2023, 7:01 pm
Maswa: Wajane waaswa kuchangamkia fursa 10% mikopo ya halmashauri
Kwenye picha ni mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge aliyesimama akizungumza na baadhi ya akina mama wajane walioshiriki maadhimisho ya wajane wilayani hapo kwenye ukumbi wa mikutano Na Mwandishi,Alex.F.Sayi WANAWAKE Wajane wilayani Maswa mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia fursa za…