
Wanawake

31 May 2023, 12:37 pm
Serikali kuwaunga mkono wajasiriamali wa WAUVI
Wajasiriamali hao wametakiwa kuacha kutengeneza bidhaa kwa mazoea badala yake wabadilike na kupiga hatua. Na Alfred Bulahya. Zaidi ya wanachama 3000 wa taasisi ya wanawake na uchumi wa viwanda mkoa wa Dodoma, wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali yaliyohusu usindikaji wa vyakula,…

30 May 2023, 9:35 am
Kabati aipongeza serikali kwa kuandaa mazingira mazuri mikopo 10%
Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa Ritta Kabati ameipongeza serikali kwa kuweka mkakati madhubuti wa utoaji fedha asilimia 10 katika halmashauri nchini. Kabati ametoa pongezi hizo katika kongamano la wajane wa mkoa wa Iringa lililoandaliwa na…

5 May 2023, 3:06 pm
Mila na desturi kandamizi zatajwa kumdidimiza mwanamke
Aidha ameisihi jamii kuwaamini wanawake katika maamuzi kwani hata Dira ya Taifa ya 2025 ya JMT, Malengo ya Maendeleo Endelevu (2030) hasa lengo Na. 5 na MKUKUTA (I&II) vinataka kuwepo kwa usawa katika masuala ya uongozi ama maamuzi. Na Alfred…

14 April 2023, 11:51 am
Wanawake watakiwa kupambana na mmomonyoko wa maadili
Hivi karibuni serikali kupitia waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mh Nape Nnauye ilisema kuwa Ushoga,Usagaji pamoja na mapenzi ya jinsia moja hayana nafasi nchini. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wanawake nchini kusimama katika nafasi zao katika ulezi…

17 March 2023, 2:41 pm
WANAZAWADIA: JUHUDI ZA KIONGOZI MWANAMKE AMINA ZAWAKOMBOA WANAWAKE.
Na Amina Massoud Jabir. WANAKIKUNDI cha ZAWADIA kilichpo changaweni Wilaya ya Mkoani wamepongeza jitihada zinazochukuliwa na kiongozi Amina Abdallah Said kwa kuwashaiwshi kuanzisha ushrika lengo kujikomboa na umasikini. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi katibu wa mwenyekit hicho Khadija Said…

17 March 2023, 2:32 pm
ELIMU YA UJASIRIAMALI CHANZO WANAWAKE PEMBA KUSHIKA NGAZI ZA MAAMUZI.
Na Amina Massoud Jabir WANAWAKE wajasiriamali kisiwani Pemba wamewataka wanawake wenzao kutumia fursa zilizopo kwenye vikundi vya ujasiriamali kwani ni chanzo cha kushiriki kwenye harakati za demokrasia na uongozi. Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa kikundi cha KIHOGONI Hadia Ali…

17 March 2023, 1:48 pm
MRATIBU TAMWA:WANAWKE CHACHU YA MAENDELEO WANPOSHIKA NAFASI ZA UONGO…
Na Khadija Rashid Nassor. Uwepo wa viongozi bora na imra Wilaya ya Micheweni na Jimbo la Konde Mkoa wa Kaskazini pemba ni miongoni mwa matunda ya mwanaharakati mwanamke Fathiya Mussa Saidi ambae kwa sasa ni Mratibu wa Chama cha Waandishi…

9 March 2023, 5:29 pm
Wanawake watakiwa kutetea haki za watoto
Mkuu wa Mkoa amewataka wanawake kusimama imara katika jamii kupinga ukatili wa kijinsia pamoja na kutetea haki za watu wenye ulemavu. Na Mariam Kasawa. Wanawake wametakiwa kusimama imara kutetea haki za watoto pamoja na haki za watu wenye ulemavu Nchini.…

3 March 2023, 2:50 pm
UWT Bahi walipongeza Dawati la Jinsia na Watoto
Mkuu huyo ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa za ukatili ili kumsaidia kila mmoja kuishi kwa furaha . Na Bernad Magawa Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Dunuani ambayo hufanyika machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya wanawake…

1 March 2023, 9:20 am
Kuelekea Siku ya Wanawake duniani wanawake wametakiwa kuchangamkia mikopo nafuu…
Machi nane mwaka huu wanawake wameshauriwa kujitokeza kwa wingi ili kujiunga katika vikundi ambavyo itawawezesha kupata mikopo kwa urahisi kupitia asilimia 4 ya mikopo inayotolewa kwa wanawakekutoka serikalini ambayo itawawezesha kubuni ama kuendeleza miradi ambayo wanayo na kuwasaidia kuwakwamua kichumi…