Radio Tadio

Wanawake

30 July 2026, 6:44 pm

EWURA yawataka watoa huduma kuboresha utendaji

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini imekutana na wadau wa sekta ya nishati na maji Kanda ya kaskazini kwa lengo la kuwakumbusha majukumu yao ya kazi na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.…

13 May 2026, 11:51 am

Jamii imeaswa kuwafundisha watoto mabadiliko ya tabianchi

umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Na Stephano Simbeye CHITETE: JAMII imeaswa kuanza kulea watoto na kuwafundisha umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi tangu wakiwa wadogo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa…

7 May 2026, 6:45 pm

Manispaa ya Geita kukamilisha ujenzi wa shule shikizi

Halmashauri inatambua nguvu kubwa inayofanywa na wananchi kwa kujenga shule shikizi na kwa bajeti ijayo tutahakikisha tunakamilisha shule zote zilizoanzishwa kwa nguvu za wananchi – Mkurugenzi Myenzi Na: Ester Mabula Halmashauri ya manispaa ya Geita imejipanga kukamilisha shule shikizi zinazoanzishwa…

8 February 2026, 5:14 pm

Serikali yasitisha mkataba na mkandarasi Kahama

Serikali imesitisha mkataba na mkandarasi Kampuni ya Sichuan Road and Bridge Group(SRBG) aliyekuwa anatekeleza ujenzi wa miradi ya barabara za ndani katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kutokana na kutokuridhishwa na kasi yake katika kutekeleza mradi huo. Hayo yameelezwa na…

23 December 2025, 11:48

SHIMKIATA yakuza mila, tamaduni za asili kwa jamii Kigoma

Asili na jadi ni msingi wa kukuza, kuhifadhi na kuendeleza utamaduni na mila kwa kuzithamini na kuzifundisha kwa vizazi vipya na kuhakikisha jamki inabaki na utambulisho imara huku ikikua na kubadilika katika njia chanya. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa…

2 October 2025, 5:27 pm

Mbukwa: Msijichukulie sheria mkononi kwa kutatua tatizo

Judith Mbukwa mkuu wa dawati la jinsia na watoto Katavi. Picha na Roda Elias “Ripotini vitendo vya ukatili ili jamii iwe salama” Na Roda Elias Jamii mkoani Katavi imetakiwa kuondokana na dhana ya kuogopa vituo vya polisi hususani dawati la…

21 August 2025, 11:12 pm

Bunda: Fundi aliyekwama duarani apatikana akiwa amefariki

Na Edward Lucas. Juma Lutamula (33), mchimbaji katika mgodi wa Walwa uliopo katika machimbo ya Kinyambwiga, amepatikana jioni ya leo akiwa tayari amefariki baada ya kufukiwa na kifusi wakati akifanya kazi ya ujenzi wa duara la uchimbaji. Lutamula alipata ajali…