31 January 2024, 1:29 pm

Asilimia 90 kesi zinazoripotiwa mahakama ya wilaya Uyui ni za ubakaji

Asilimia 90 ya kesi zinazoripotiwa katika mahakama ya Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora ni za ubakaji. Na Zaituni Juma Hakimu mkazi Mfawidhi Mahakama ya wilaya ya Uyui mkoani Tabora Tausi Mongi amesema asilimia 90 ya kesi zinazoripotiwa katika mahakama hiyo…

On air
Play internet radio

Recent posts

22 July 2024, 6:15 pm

Bilioni 26 kutengeneza barabara mkoani Tabora

TARURA mkoa wa Tabora anasimamia mtandao wa barabara wenye urefu wa kilolemta 8,404 . Na Zaituni Juma Jumla ya shilingi bilioni 26 zimetengwa na serikali  katika mwaka wa fedha 2024/2025  kwaajili ya kutengeneza barabara  katika maeneo mbalimbali mkoani Tabora. Meneja…

12 July 2024, 6:32 pm

23 mbaroni tuhuma za udanganyifu wa ajira kwa vijana

Kwa mujibu wa taarifa vijana hao zaidi ya 100 walipigiwa simu kutoka mikoa ya Manyara, Arusha, Singida, Dodoma na Morogoro kuja mkoani Tabora kwa lengo la kuwapatia ajira zenye mshahara mnono Na Salma Abdul Watu 23 ambao ni baadhi ya…

12 July 2024, 5:45 pm

ACP Deleli: Waathirika zaidi wa ajali ni bodaboda

Chuo cha mafunzo ya udereva Utalii East Afrika – Tabora kimeratibu mafunzo bure kwa waendesha Bodaboda,bajaji na maguta zaidi ya 500 Manispaa ya Tabora  kwa kipindi cha mwezi 1 kwa lengo la   uzingatiaji  wa sheria za usalama barabarani. Na…

12 July 2024, 5:14 pm

Shekhe asimamishwa kwa kuratibu ndoa bandia

Suala hilo limetokea kutokana na mpango wa mfadhili kuwatafuta vijana kwa lengo la kuwafungisha ndoa na kugharamia mahari pamoja na mambo mengine. Na Zaituni Juma Baraza  la Mashehe mkoani Tabora limemsimamisha kazi  Shekhe wa kata ya Mtendeni Manispaa ya Tabora…

7 July 2024, 7:18 pm

Dkt. Biteko: Tangulizeni maslahi ya watanzania masikini

Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani kitaifa yamefanyika mara ya nne mfululizo mkoani Tabora yakibeba kaulimbiu isemayo “Ushirika hujenga kesho iliyo bora” Na Nicholaus Mwaibale Naibu Waziri Mkuu na waziri wa nishati Daktari Dotto Biteko amewataka viongozi wa ushirika nchini kufanya…

2 July 2024, 4:25 pm

COASCO yatakiwa kudhibiti mali za ushirika

Maadhimisho ya wiki ya ushirika duniani kitaifa yamefanyika mara nne mfululizo katika viwanja vya Nanenane Ipuli Manispaa ya Tabora. Na Zaituni Juma Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde amelitaka Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika- COASCO kuendelea…

30 June 2024, 9:10 pm

Dkt. Msonde: Walimu wekeni msingi mzuri wa lugha ya kiingereza

Dkt. Charles Msonde amekuwa na ziara katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kagera na Tabora ambapo pamoja na mambo mengine ametumia fursa hiyo kuzungumza na walimu. Na Elisha Lusatila Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka…

21 June 2024, 7:39 pm

 RC Chacha akabidhi milioni 50 Tabora United

Kiasi cha shilingi milioni 50 kilichotolewa kwa wachezaji na viongozi wa timu ya Tabora United ni utekelezaji wa ahadi aliyotoa RC Chacha kwa timu hiyo kama itafanya vizuri katika michezo ya mtoano na kubakia ligi kuu. Na Mohamed Habibu Mkuu…

18 June 2024, 4:46 pm

Serikali yatoa onyo kwa wenye vibali uvunaji mazao ya misitu

Operesheni hiyo ya kufuatilia wanaokiuka taratibu za uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Uyui imeanza wiki ya mazingira Mei 29 mwaka huu ikiwa na kaulimbiu isemayo ‘’urejeshwaji wa ardhi iliyoharibiwa, ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame’’ Na Zaituni Juma…

12 June 2024, 11:58 am

Afisa maendeleo-Msiwatelekeze  watoto kwa bibi na babu zao  

Kila ifikapo juni 12 ya kila mwaka  dunia inaadhimisha siku ya kupinga utumikishwaji wa Mtoto ambapo kwa mwaka huu imebeba kaulimbiua isemayo ‘’komesha utumikishwaji wa mtoto’’ Na Zaituni Juma Wazazi na walezi wilayani Tabora wameaswa kutowatelekeza watoto wao kwa wazee…