
Recent posts

27 January 2025, 2:42 pm
Wadau waombwa kutimiza malengo ya maadhimisho ya wiki ya sheria
Picha ikiwaonyesha wadau mbalimbali wa mahakama wakiwa katika jengo la NSSF mkoani Tabora. Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amewataka wadau wa mahakama kushirikiana kutimiza malengo ya maadhimisho ya wiki ya sheria. Ametoa wito huo leo wakati wa uzinduzi…

27 January 2025, 1:49 pm
Mtibwa Sugar yatamba kufanya vizuri ligi daraja la kwanza
Picha ya kikosi cha Mtibwa Sukari cha msimu wa 2024/25 Klabu ya Mtibwa Sukari imeendelea kufanya vizuri katika muendelezo ligi daraja la kwanza(Championship) kwa kupata matekeo mazuri katika michezo wanayoicheza,Mtibwa sukari inaongoza ligi hiyo ikiwa na alama 41 kwa kushinda…

17 January 2025, 4:41 pm
Klabu za usalama barabarani zapunguza ajali kwa wanafunzi Tabora
katibu wa kamati ya ushauri ya watumiaji huduma za usafiri ardhini mkoa wa Tabora LATRA CCC Joakim Milambo amesema ni kuhakikisha wanapanua wigo wa elimu ya usalama barabarani Na Nyamizi Mdaki Uanzishwaji wa Klabu za usalama barabarani kwa wanafunzi katika…

16 January 2025, 1:09 pm
DC Magembe atangaza vita dhidi ya ‘chagulaga’
Wananchi wamesisitizwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya usalama ili kutokomeza utamaduni huo. Na Zaituni Juma Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Cornel Magembe amekemea vikali utamaduni wa baadhi ya wanaume kuwalazimisha wasichana wadogo kuingia nao kwenye mahusiano ya kimapenzi maarufu kama…

14 January 2025, 6:01 pm
Asilimia 68 ya wanafunzi wameandikishwa darasa la kwanza Manispaa ya Tabora.
Na, Nyamizi Mdaki Asilimia 68 ya wanafunzi wameandikishwa darasa la kwanza, kwenye Shule mbalimbali za Serikali katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora. Hayo yamebainishwa na Afisa elimu awali na msingi Manispaa ya Tabora Patricia Mbigili wakati akizungumza na UFR kuhusu…

14 January 2025, 12:41 pm
Idara ya ujenzi Manispaa ya Tabora rushwa imekithiri-Meya
“Kwasababu mkurugenzi upo na vyombo vipo vianze kuwashughulikia hawa watu mara moja” Na Zaituni Juma Vyombo ya usalama vimeagizwa kuchunguza idara ya ujenzi katika halmashauri ya Manispaa ya Tabora kufuatia kukithiri kwa vitendo vya rushwa hali ambayo imetajwa kuisababishia halmashauri…

14 January 2025, 11:49 am
Epuka matumizi yasiyo ya lazima-Dkt Mkama
Nidhamu ya muda na fedha imesisitizwa kwa yeyote anayetaka kufanikiwa. Jamii Mkoani Tabora imetakiwa kuona umuhimu wa kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha ili kutimiza malengo wanayojiwekea kwa mwaka mzima. Ushauri huo umetolewa na Mhadhiri wa chuo kikuu kishiriki…

8 January 2025, 11:39 am
Tiba ya Himophilia kuanza kutolewa Tabora
Awaomba wataalam wa afya na wananchi kutumia klinik hiyo kwa kuibua wagonjwa wapya kwaajili ya kupata msaada. Na Butungo Andrew Hospitali ya rufaa mkoani Tabora Kitete kwakushirikiana na hospitali ya taifa Muhimbili pamoja na chama cha Himophilia Tanzania, imezindua klinik…

8 January 2025, 11:38 am
RC Tabora akemea rushwa kwenye michezo
Mkuu wa Mkoa wa Tabora asema rushwa inashusha hadhi ya wachezaji pamoja na timu. Na Zabron George Wachezaji wa timu ya Tabora united wameshauliwa kutopokea chochote kutoka kwa mtu mwenye lengo la kuuza mchezo kwani kufanya hivyo kutashusha hadhi ya…

8 January 2025, 11:12 am
Wanasheria Tabora waiomba mahakama kuharakisha kesi
Mwenyekiti wa chama cha mawakili kanda ya Tabora Kelvin kayaga akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kero ya wafungwa kukaa muda mrefu mahabusu Wanasheria Tabora waazimia kutopokea majarada ya msaada wa sheria ndani ya miezi sita hadi kesi zisikilizwe kwa…