![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2021/03/img-20210329-wa0016-1-1500x800.jpg )
Recent posts
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2024/07/mkunazini-350x350.png )
22 July 2024, 6:15 pm
Bilioni 26 kutengeneza barabara mkoani Tabora
TARURA mkoa wa Tabora anasimamia mtandao wa barabara wenye urefu wa kilolemta 8,404 . Na Zaituni Juma Jumla ya shilingi bilioni 26 zimetengwa na serikali katika mwaka wa fedha 2024/2025 kwaajili ya kutengeneza barabara katika maeneo mbalimbali mkoani Tabora. Meneja…
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2024/07/gari-350x350.jpg )
12 July 2024, 6:32 pm
23 mbaroni tuhuma za udanganyifu wa ajira kwa vijana
Kwa mujibu wa taarifa vijana hao zaidi ya 100 walipigiwa simu kutoka mikoa ya Manyara, Arusha, Singida, Dodoma na Morogoro kuja mkoani Tabora kwa lengo la kuwapatia ajira zenye mshahara mnono Na Salma Abdul Watu 23 ambao ni baadhi ya…
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2024/07/bodaboda-350x350.jpg )
12 July 2024, 5:45 pm
ACP Deleli: Waathirika zaidi wa ajali ni bodaboda
Chuo cha mafunzo ya udereva Utalii East Afrika – Tabora kimeratibu mafunzo bure kwa waendesha Bodaboda,bajaji na maguta zaidi ya 500 Manispaa ya Tabora kwa kipindi cha mwezi 1 kwa lengo la uzingatiaji wa sheria za usalama barabarani. Na…
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2024/07/img-20240712-wa0002-1-350x350.jpg )
12 July 2024, 5:14 pm
Shekhe asimamishwa kwa kuratibu ndoa bandia
Suala hilo limetokea kutokana na mpango wa mfadhili kuwatafuta vijana kwa lengo la kuwafungisha ndoa na kugharamia mahari pamoja na mambo mengine. Na Zaituni Juma Baraza la Mashehe mkoani Tabora limemsimamisha kazi Shekhe wa kata ya Mtendeni Manispaa ya Tabora…
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2024/07/pic-v-350x350.jpg )
7 July 2024, 7:18 pm
Dkt. Biteko: Tangulizeni maslahi ya watanzania masikini
Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani kitaifa yamefanyika mara ya nne mfululizo mkoani Tabora yakibeba kaulimbiu isemayo “Ushirika hujenga kesho iliyo bora” Na Nicholaus Mwaibale Naibu Waziri Mkuu na waziri wa nishati Daktari Dotto Biteko amewataka viongozi wa ushirika nchini kufanya…
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2024/07/wananchi-01-350x350.jpg )
2 July 2024, 4:25 pm
COASCO yatakiwa kudhibiti mali za ushirika
Maadhimisho ya wiki ya ushirika duniani kitaifa yamefanyika mara nne mfululizo katika viwanja vya Nanenane Ipuli Manispaa ya Tabora. Na Zaituni Juma Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde amelitaka Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika- COASCO kuendelea…
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2024/06/walimu-pic-350x350.jpg )
30 June 2024, 9:10 pm
Dkt. Msonde: Walimu wekeni msingi mzuri wa lugha ya kiingereza
Dkt. Charles Msonde amekuwa na ziara katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kagera na Tabora ambapo pamoja na mambo mengine ametumia fursa hiyo kuzungumza na walimu. Na Elisha Lusatila Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka…
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2024/06/whatsapp-image-2024-06-21-at-91201-am-2-350x350.jpeg )
21 June 2024, 7:39 pm
RC Chacha akabidhi milioni 50 Tabora United
Kiasi cha shilingi milioni 50 kilichotolewa kwa wachezaji na viongozi wa timu ya Tabora United ni utekelezaji wa ahadi aliyotoa RC Chacha kwa timu hiyo kama itafanya vizuri katika michezo ya mtoano na kubakia ligi kuu. Na Mohamed Habibu Mkuu…
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2024/06/hii-350x350.png )
18 June 2024, 4:46 pm
Serikali yatoa onyo kwa wenye vibali uvunaji mazao ya misitu
Operesheni hiyo ya kufuatilia wanaokiuka taratibu za uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Uyui imeanza wiki ya mazingira Mei 29 mwaka huu ikiwa na kaulimbiu isemayo ‘’urejeshwaji wa ardhi iliyoharibiwa, ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame’’ Na Zaituni Juma…
![](
https://radiotadio.co.tz/uyuifmradio/wp-content/uploads/sites/22/2023/09/img20230923100329-350x350.jpg )
12 June 2024, 11:58 am
Afisa maendeleo-Msiwatelekeze watoto kwa bibi na babu zao
Kila ifikapo juni 12 ya kila mwaka dunia inaadhimisha siku ya kupinga utumikishwaji wa Mtoto ambapo kwa mwaka huu imebeba kaulimbiua isemayo ‘’komesha utumikishwaji wa mtoto’’ Na Zaituni Juma Wazazi na walezi wilayani Tabora wameaswa kutowatelekeza watoto wao kwa wazee…