Uyui FM Radio

Recent posts

4 July 2023, 11:07 am

21 mbaroni wizi miundombinu ya maji

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia watu 21 kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo mbali mbali vya uhalifu vikiwemo vya wizi wa vifaa vya miundo mbinu ya maji. Na Nicholaus Mwaibale Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora Kamishna msaidizi Richard…

3 July 2023, 12:22 pm

Zaidi ya bilioni moja kujenga shule za msingi Tabora

Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 1 na milioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya za msingi kwenye kata za Mtendeni, Mbugani na Tambukareli manispaa ya Tabora ili kuondoa tatizo la upungufu wa madarasa katika manispaa hiyo. Na…

1 July 2023, 6:32 pm

Kampuni za tumbaku zatakiwa kuwalipa wakulima kwa wakati

Serikali imetakiwa kuhakikisha kampuni zinazonunua tumbaku za wakulima wanalipwa kwa wakati. Rai hiyo imetolewa na mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Tabora na mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM Taifa Hassan Wakasuvi. Akitolea ufafanuzi wa…

10 February 2023, 1:52 pm

Safari ya mwisho ya mtangazaji Beatrice Mahangi

Ibada ya mazishi ya  mtangazaji wa kipindi cha BEMBEA LA WATOTO  BEATRICE JOSEPH MAHANGI  wa  kituo cha redio UFR 99.3 Tabora imefanyika   hii leo februari 10 katika Kanisa Katoliki Parokia ya Paul-Bunda mkoani Mara. Awali Meneja wa kituo  cha redio UFR …

3 February 2023, 3:16 pm

Maagizo matano kwa wakuu wa wilaya Tabora

Mkuu wa mkoa wa TABORA Balozi Daktari Batilda Buriani ametoa maagizo matano kwa Wakuu wa wilaya wa mkoa huo likiwemo la kwenda kusimamia masuala ya ulinzi na usalama katika maeneo yao. Maagizo hayo ameyatoa kwenye hafla ya uapisho wa wakuu…

12 December 2021, 7:46 pm

Mwanamke atajwa kuwa mhanga wa mabadiliko ya Tabia ya nchi

Wanawake wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwa kuwa ni wahanga wakuu wa athari za mabadiliko ya tabia nchi katika jamii Katibu mtendaji  wa taasisi ya OHIDE Silesi Mali…

12 December 2021, 7:34 pm

Waandishi wahimizwa kusaidia jamii kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya nchi

Waandishi wa habari wamehimizwa kuandika na kutangaza habari kuhusu utunzaji mazingira ili kusaidia jamii na dunia kwa ujumla kuepukana na mabadiliko ya tabia nchi. Hayo yameelezwa katika mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo waandishi wa habari katika kuandika habari za mazingira nchini…

7 October 2021, 7:53 pm

Mufti ahimiza waislam kushirikiana na serikali

Mufti Mkuu wa Tanzania sheikh Abubakar Zubeir Ally amewataka viongozi wa dini ya kiislam mkoani Tabora kuendeleza ushirikiano na viongozi wa serikali ili kuhakikisha wanafanya kazi kwa ufanisi, weledi pamoja  na kuzingatia madili ya dini. Wito huo ameutoa mjini Tabora…

23 August 2021, 7:50 pm

Someni mapato na matumizi ni takwa kisheria-DC Tabora

Mkuu wa wilaya ya TABORA Dkt YAHAYA NAWANDA amemuagiza mtendaji wa kata Ya Isevya GATI ADAMU ahakikishe anasimamia suala la usomaji wa mapato na matumizi kwa wananchi kwenye kila mtaa, kisha kupeleka ripoti hiyo ofisini kwake hadi kufikia ijumaa ya…

28 July 2021, 6:42 pm

Uchunguzi miradi iliyokataliwa na Mwenge Tabora.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa TABORA imeanzisha uchunguzi kwenye miradi 3 kati ya 35 ambayo haikuzinduliwa wakati wa mbio maalumu za mwenge wa uhuru Mkoani hapa. Akizungumza hii leo wakati wa kutoa Taarifa ya utendaji…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!