Uyui FM Radio

Recent posts

19 May 2021, 7:21 pm

Watoa huduma za mawasiliano Kanda ya kati wanolewa juu ya UCSAF

Watoa huduma za mawasiliano katika mkoa wa Tabora, singida na Kigoma wametakiwa kuwa na ushirikiano kwa wananchi ili kutumia mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF kwa lengo la kuhakikisha huduma inayotolewa inakuwa bora hususani katika maeneo ya vijijini. RICHARD SOTERY…

26 April 2021, 5:45 pm

Rc Tabora awa mbogo kusuasua ujenzi wa hospital ya Wilaya

Mkuu wa mkoa wa Tabora Dkt Philemon Sengati ameiagiza Wilaya ya Kaliua  kukamilisha haraka mradi wa hospitali ya wilaya hiyo pamoja na ujenzi wa kituo  cha afya Usinge ili wananchi waanze kupata huduma za afya maeneo hayo. Ametoa agizo hilo…

20 April 2021, 5:41 pm

Katibu Hospitali ya Rufaa Kitete kufanyiwa uchunguzi wa kinidhamu

Watumishi wa afya katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora -Kitete wamemuomba mkuu wa mkoa wa Tabora kufanya uchunguzi wa kinidhamu dhidi ya Katibu wa Hospitali hiyo BABY NYIMBO kutokana na tuhuma mbalimbali za kiutendaji. Akizungumza kwa niaba ya…

15 April 2021, 6:09 pm

Malalamiko 50 kati ya 116 yakutwa na viashiria vya rushwa -TABORA.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Tabora  imepokea jumla ya malalamiko 116 ambayo kati yake 50 yalikuwa na viashiria vya rushwa. Akitoa taarifa kwa vyombo vya Habari   naibu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Tabora  Mashauri Elisante…

12 April 2021, 5:49 pm

Wananchi Kaliua wapigwa marufuku hifadhi ya Isawima.

Naibu waziri wa maliasiri na utalii Marry Masanja amezuia wananchi kufanya shughuli yoyote ndani ya hifadhi ya ISAWIMA wilayani Kaliua mkoani Tabora baada ya wananchi kuvamia hifadhi hiyo na kukaidi maelekezo ya serikali ya mkoa iliyowataka kuondoka. Naibu waziri amesema…

8 April 2021, 5:25 pm

Milioni 18 kugharamia ujenzi matundu ya vyoo 13 S/M GONGONI.

Zaidi ya shilingi milioni 18 zimegharamia ujenzi wa matundu ya vyoo 13 katika shule ya msingi GONGONI kata ya KANYENYE Manispaa ya TABORA. Mhashamu Askofu Mkuu jimbo katoliki TABORA PAUL RUZOKA amesema hayo wakati wa kukabidhi jengo lenye matundu 13…

29 March 2021, 7:13 pm

Ibada maalumu ya kuliombea Taifa yafanyika Tabora

Waumini wa madhehebu ya kikristo Mkoani Tabora wametakiwa kuendeleza mazuri aliyoyaacha Hayati Dokta John Magufuli ikiwa ni pamoja na kutunza tunu za kitaifa hususani amani, upendo na mshikamano. Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora Abel Busalama…

25 March 2021, 4:14 pm

Wafanyabiashara Tabora wamlilia Hayati Dkt Magufuli

Wafanyabiashara na wajasiriamali  katika Manispaa ya Tabora wamesema watamkumbuka aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt John Pombe Magufuli kutokana na namna alivyo wapigania na kupata maeneo ya kufanyia biashara bila Bugudha. Wafanyabiashara hao akiwemo Haki Kasawa,Sheila Chambuso…

24 March 2021, 1:14 pm

Wananchi ManiSpaa ya Tabora waendelea kumuenzi Hayati Dkt JOHN MAGUFULI

Jamii katika Manispaa ya Tabora imesema inamuenzi na  itaendelea kumkumbuka aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano  katika Jamuhuri ya muungano wa Tanzania  hayati Dkt John Pombe Magufuli  kwa juhudi na uchapakazi wake  ikiwa ni pamoja na  kuhakikisha watanzania wanapata huduma…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!