Recent posts
19 May 2021, 7:21 pm
Watoa huduma za mawasiliano Kanda ya kati wanolewa juu ya UCSAF
Watoa huduma za mawasiliano katika mkoa wa Tabora, singida na Kigoma wametakiwa kuwa na ushirikiano kwa wananchi ili kutumia mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF kwa lengo la kuhakikisha huduma inayotolewa inakuwa bora hususani katika maeneo ya vijijini. RICHARD SOTERY…
26 April 2021, 5:45 pm
Rc Tabora awa mbogo kusuasua ujenzi wa hospital ya Wilaya
Mkuu wa mkoa wa Tabora Dkt Philemon Sengati ameiagiza Wilaya ya Kaliua kukamilisha haraka mradi wa hospitali ya wilaya hiyo pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Usinge ili wananchi waanze kupata huduma za afya maeneo hayo. Ametoa agizo hilo…
20 April 2021, 5:41 pm
Katibu Hospitali ya Rufaa Kitete kufanyiwa uchunguzi wa kinidhamu
Watumishi wa afya katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora -Kitete wamemuomba mkuu wa mkoa wa Tabora kufanya uchunguzi wa kinidhamu dhidi ya Katibu wa Hospitali hiyo BABY NYIMBO kutokana na tuhuma mbalimbali za kiutendaji. Akizungumza kwa niaba ya…
15 April 2021, 6:09 pm
Malalamiko 50 kati ya 116 yakutwa na viashiria vya rushwa -TABORA.
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Tabora imepokea jumla ya malalamiko 116 ambayo kati yake 50 yalikuwa na viashiria vya rushwa. Akitoa taarifa kwa vyombo vya Habari naibu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Tabora Mashauri Elisante…
12 April 2021, 5:49 pm
Wananchi Kaliua wapigwa marufuku hifadhi ya Isawima.
Naibu waziri wa maliasiri na utalii Marry Masanja amezuia wananchi kufanya shughuli yoyote ndani ya hifadhi ya ISAWIMA wilayani Kaliua mkoani Tabora baada ya wananchi kuvamia hifadhi hiyo na kukaidi maelekezo ya serikali ya mkoa iliyowataka kuondoka. Naibu waziri amesema…
8 April 2021, 5:25 pm
Milioni 18 kugharamia ujenzi matundu ya vyoo 13 S/M GONGONI.
Zaidi ya shilingi milioni 18 zimegharamia ujenzi wa matundu ya vyoo 13 katika shule ya msingi GONGONI kata ya KANYENYE Manispaa ya TABORA. Mhashamu Askofu Mkuu jimbo katoliki TABORA PAUL RUZOKA amesema hayo wakati wa kukabidhi jengo lenye matundu 13…
29 March 2021, 7:13 pm
Ibada maalumu ya kuliombea Taifa yafanyika Tabora
Waumini wa madhehebu ya kikristo Mkoani Tabora wametakiwa kuendeleza mazuri aliyoyaacha Hayati Dokta John Magufuli ikiwa ni pamoja na kutunza tunu za kitaifa hususani amani, upendo na mshikamano. Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora Abel Busalama…
25 March 2021, 4:14 pm
Wafanyabiashara Tabora wamlilia Hayati Dkt Magufuli
Wafanyabiashara na wajasiriamali katika Manispaa ya Tabora wamesema watamkumbuka aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt John Pombe Magufuli kutokana na namna alivyo wapigania na kupata maeneo ya kufanyia biashara bila Bugudha. Wafanyabiashara hao akiwemo Haki Kasawa,Sheila Chambuso…
24 March 2021, 1:14 pm
Wananchi ManiSpaa ya Tabora waendelea kumuenzi Hayati Dkt JOHN MAGUFULI
Jamii katika Manispaa ya Tabora imesema inamuenzi na itaendelea kumkumbuka aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano katika Jamuhuri ya muungano wa Tanzania hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa juhudi na uchapakazi wake ikiwa ni pamoja na kuhakikisha watanzania wanapata huduma…