Radio Tadio

Wanawake

9 March 2023, 5:29 pm

Wanawake watakiwa kutetea haki za watoto

Mkuu wa Mkoa amewataka wanawake kusimama imara katika jamii kupinga ukatili wa kijinsia pamoja na kutetea haki za watu wenye ulemavu. Na Mariam Kasawa. Wanawake wametakiwa kusimama imara kutetea haki za watoto pamoja na haki za watu wenye ulemavu Nchini.…

3 March 2023, 2:50 pm

UWT Bahi walipongeza  Dawati la Jinsia na Watoto

Mkuu huyo ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa za ukatili ili kumsaidia kila mmoja kuishi kwa furaha . Na Bernad Magawa Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Dunuani ambayo hufanyika machi  8 kila mwaka, Jumuiya ya wanawake…

28 February 2023, 5:59 pm

Kausha damu yawaliza wanawake Jijini Dodoma

Mikopo hiyo imepachikwa jina la kausha damu kutokana na maumivu wanayopata wakopaji kwa kuwa na riba kubwa  ambayo imegeuka kuwa  machungu. Na Mindi Joseph. Wanawake Kata yA Makole Jijini Dodoma wametajwa kuwa Waathirika wakubwa wa mikopo ya kausha damu na…

9 September 2022, 9:57 am

Jamii itoe taarifa kuhusu vitendo vya ukatili

RUNGWE-MBEYA. NA:LETHISIA SHIMBI Baadhi ya Wanawake Wilayani Rungwe mkoani Mbeya  wameeleza namna wanavyoshiriki kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii ili kuweza kutokomeza vitendo hivyo. Wakizungumza na chai fm BAHATI SIMON na MAIDASI NDAMU wamesema endapo vitendo…