Dodoma FM
Dodoma FM
16 September 2025, 2:46 pm

Wamewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi ili kuwasapoti katika mchezo huo.
Kocha wa timu ya Dodoma jiji ameeleza maandalizi yao kuelekea mchezo wao na KMC unaotarajiwa kuchezwa hapo kesho ambapo amesema tayari wachezaji wamejiandaa vizuri licha ya kufahamu kuwa ni mchezo mgumu ulioko mbele ya.