Dodoma FM

Wagombea ubunge Mpwapwa walalamika rushwa kutawala

7 August 2025, 12:50 pm

Picha ni katibu wa chama cha mapinduzi Mpwapwa akitangaza matokeo ya jimbo la Kibakwe na Mpwapwa.Picha na Steven Noel.

Wameyasema haya mala baada ya katibu wa chama hicho kutangaza matokeo ya uchaguzi   wa majimbo ya kibakwe na Mpwapwa.

Na Steven Noel.

Baadhi ya wagombea wa nafasi ya ubunge Jimbo la mpwapwa wamelalamikia RUSHWA kutawala Katika uchaguzi kitu walicho kusema kuwa kilipelekea uchaguzi huo kuto kuwa Huru na Haki.

Habari kamili