Dodoma FM

UWT Mpwapwa yapitisha majina tisa wagombea viti maalum

24 July 2025, 5:08 pm

Picha ni Mkuu wa wilaya ya kongwa Mayeka Saimon Mayeka akiongea wakati wa mchakato huo.Picha na Steven Noel.

wagombea hao wametakiwa kufuata kanuni Sheria na taratibu za uchaguzi.

Na Steven Noel.

Wanachama 46 wa umoja wawanawake  ccm Tanzania  UWT. Wilaya ya Mpwapwa wapitisha majina tisa ya waliowania udiwani viti maluum Katika mchakato uliofanyika Katika viwanja vya ofisi za ccm.

Akifungua mkutano huo Mkuu wa wilaya ya kongwa Mayeka Saimon Mayeka  amewataka wanawake hao kufuata kanuni Sheria na taratibu za uchaguzi Ili kuwa na uchaguzi huru na wa Haki .

Habari kamili.