Dodoma FM

Hospitali ya Mpwapwa yaboresha huduma za maabara

24 July 2025, 4:18 pm

Picha ni hospitali ya wilaya ya Mpwapwa .Picha na Steven Noel.

kufuatia ithibati  hiyo watatoa Huduma  bora Kwa wakazi wa mpwapwa na viunga vyake.

Na Steven Noel.

Uongozi wa hospitali ya wilaya ya Mpwapwa imeboresha Huduma za kimaabara  kufuatia kupatia kupatiwa ithibati  na wizara  ya Afya  na kuanza kutoa Huduma ambazo xilikuwa hazitolewi hapo awali.

Akiongea Katika hafla ya kutangaza kibali cha ithibati  hiyo meneja wa maabara ya hospitali hiyo Ngo’lo  Msalaba  amesema kufuatia ithibati  hiyo watatoa Huduma  bora Kwa wakazi wa mpwapwa na viunga vyake .

Habari kamili.