Dodoma FM

Tamaa chanzo cha baadhi ya wanafunzi kubadili tabia?

9 July 2025, 3:50 pm

Picha ni Mwanasaikolojia na Mbobezi wa Malezi Mtahu Mtahu.Picha na Farashuu Abdala.

Dodoma Tv imezungumza na baadhi ya Wanafunzi ili kujua sababu inayopelekea mabadiliko ya tabia.

Na Farashuu  Abdalla.

Imeelezwa kuwa mabadiliko ya tabia kwa baadhi ya Wanafunzi wa Elimu ya juu pindi wanapoingia vyuoni  imekuwa ni huzuni  na janga  katika jamii.

 Dodoma Tv imezungumza na baadhi ya Wanafunzi ili kujua sababu inayopelekea mabadiliko ya tabia pindi wawapo vyuoni.

Sauti za wanafunzi.

Kwa upande wake Mwanasaikolojia na Mbobezi wa Malezi Mtahu Mtahu amesema sababu ya mabadiliko ni tamaa kwa baadhi ya Wanafunzi huku akimaliza kwa kutoa ushauri kwa Wanafunzi na jamii kiujumla.

Sauti ya Mtahu Mtahu.