Dodoma FM

Elimu ya mikopo inamsaidia vipi kijana kujikwamua kiuchumi

27 May 2025, 4:14 pm

Elimu ya mkopo inawawezesha vijana kufanya mambo mbalimbali ikiwemo kukopa na kufanya shugholi mbalimbali za maendeleo.Picha na Google.

Je vijana wanazungumziaje elimu ya mikopo ambayo imekuwa ikitolewa je inawanufaisha kwa kiasi gani.

Na Seleman Kodima.
Awali nimefanikiwa kufika hadi chuo cha kilimo,mifugo na maendeleo ya jamii TRACDI Nzuguni na kuzungumza na wadau mbalimbali kuhusu Je Elimu ya Mikopo inamsaidiaje kijana kujikwambua kiuchumi
Karibu ufatane nami