Dodoma FM
Dodoma FM
20 May 2025, 3:38 pm

Rushwa katika siasa ni moja ya vikwazo vikubwa vinavyowakwamisha wanawake kuwania nafasi za uongozi.
Karibu katika makala ya Amua, makala ambayo inakujia kupitia Dodoma FM, na wiki hii tunajadili kwa pamoja kuhusu Rushwa katika uchaguzi inavyokwamisha wanawake kuwania nafasi za uongozi.