Dodoma FM

Mwili wa aliyekuwa mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa waagwa leo

14 April 2025, 5:54 pm

Picha ni Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Mh Sophia Kizigo akiwaongoza waombolezaji kuaga mwili huo.Picha na Steven Noel.

Aliye kuwa mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa alifariki dunia kwa ajari ya gari

Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa ameongoza waombelezaji kuuga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa aliyefariki kwa ajali April 10, 2025 Mji wa serikali mtumba.

Habari kamili.