Dodoma FM

Waziri Pinda aunda tume kuchunguza mgogoro wa ardhi

18 February 2025, 6:39 pm

Picha ni wakazi wilayani Kiteto wakiwa katika mkutano huo na naibu waziri mh. Pinda. Picha na Kitana Hamis.

Miongoni mwa walio Hudhuria Mkutano huo nipamoja na Wananchi wa Vijiji vya Wilaya ya Chemba.

Na Kitana Hamis.
Naibu waziri wa Ardhi Mh Geofrey Pinda ameunda tume ya kuchunguza mgogoro wa ardhi wilayani Kiteto uliodumu kwa muda mrefu.

Awali wenyeviti wa Vijiji vya Ndaleta na Makame wakiongea Mbele ya Mh Pinda aliye fika nakuzungumza na Wananchi walikuwa na haya ya kusema.

sauti za wenyaviti
Picha ni Naibu waziri wa Ardhi Mh Geofrey Pinda akiongea na wananchi wilayani Kiteto.Picha na Kitana Hamis.

Miongoni mwa walio Hudhuria Mkutano huo nipamoja na Wananchi wa Vijiji vya Wilaya ya Chemba ambapo mwenyekiti wa kijiji Cha olbolot nahapa anaeleza.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Remidius Mwema akaeleza kuhusu Mgogoro huu uliodumu kwa muda mrefu.

Sauti ya mh remidius mwema

Naibu Waziri wa Aridhi Mh: Geophrey Pinda akatoa kauli ya Serikali.

Sauti ya Mh.Pinda.