Dodoma FM

Ulishaji mifugo holela ni adui wa mazingira

14 October 2024, 7:57 pm

Na Mariam Kasawa.

Wakazi jijini Dodoma wametakiwa kuachana na ufugaji holela ambao umekuwa ukichangia kwa kiasi kikubwa kuangamiza miti inayo pandwa.

Bwn. Innocent  Makomba Afisa mazingira  amesema hayo katika mahojiano maalum baada ya zoezi la upandaji miti katika shule ya msingi K ndege Oct 10.

Bwn. Innocent  Makomba Afisa
Bwn. Innocent  Makomba Afisa

Mwenyeki wa mtaa wa K ndege Bw. Innocent Lufyagila amesema kuwa  jitihada walizofanya katika kukabiliana na uharibifu wa mazingira ni pamoja kufanya vikao na wananchi ili kuzungumzia suala la utunzaji wa mazingira.

Mwenyeki wa mtaa wa K ndege Bw. Innocent Lufyagila
Sauti ya Bwn. Innocent Lufyagila

Kwa upande wake Diwani wa kata ya K ndege Bw. Albert Mbalanga amesisitiza umuhimu wa upandaji miti kwa jamii.

Diwani wa kata ya K ndege Bwn. Albert Mbalanga
Sauti ya Bwn. Albert Mbalanga