
Ufugaji

27 March 2023, 2:43 pm
Biashara ya ufugaji wa njiwa na faida zake
Ufugaji wa njiwa ni moja kati ya biashara ambayo inaweza kusaidia baadhi ya watu kujinufaisha na kujikwamua kiuchumi. Na Thadei Tesha. Ufugaji wa njiwa ni moja kati ya biashara ambayo inaweza kusaidia baadhi ya watu kujinufaisha na kujikwamua kiuchumi. Bw.…

16 December 2022, 4:56 pm
Wafugaji Waomba Elimu Ili Kuboresha Shughuli Zao
WAFUGAJI zaidi ya 100 kutoka katika kata zote 30 za Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora wameomba kupatiwa elimu ya ufugaji bora na maeneo ya malisho ili kuboresha shughuli zao ikiwemo kuongeza idadi ya mifugo ila sio kupunguza. Hayo yamebainishwa…

6 July 2021, 2:01 pm
Baadhi ya wafanyakazi wa ndani waelezea kukumbana na changamoto ya ukatili na un…
Na;Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa licha ya mchango mkubwa katika Familia, bado wafanyakazi wa ndani wanakabiliwa na changamoto ya kufanyiwa vitendo vya Ukatili na Unyanysaji wa kijinsia kutoka kwa waajiri wao, wanafamilia, ndugu na marafiki. Mmoja wa wasaidizi wa kazi za…