Radio Tadio

Ufugaji

31 August 2023, 10:21 pm

Wafugaji watakiwa kunenepesha mifugo

Kulisha ng’ombe kwa kutumia aina yoyote ya malisho, haitoshi kuwa na ng’ombe mwenye afya nzuri na maziwa ya kutosha, hili limemuinua Afisa Mifugo na kutoa elimu kwa wafugaji. Na Kale Chongela- Geita Wafugaji wa ng’ombe mjini Geita wametakiwa kuipatia mifugo…

28 August 2023, 1:34 pm

Wafugaji wa Nyuki Geita watakiwa kufuga kisasa

Ufugaji wa Nyuki umeendelea kuongezeka kwa kasi Mkoani Geita na maeneo mbalimbali huku idadi kubwa ya watu wanaoingia kwenye ufugaji huo wakiwa hawajui kanuni za ufugaji. Na Kale Chongela: Wafugaji wa Nyuki katika Kata ya Buhalahala wilayani Geita Mkoani Geita…

7 July 2023, 1:41 pm

Wafugaji Kilosa washauriwa kufuga kibiashara

Serikali imelenga kutoa elimu ya shughuli za kimaendeleo katika sekta ya ufugaji kwa vijana hususan wazawa ambao baada ya mafunzo hayo watakuwa mabalozi wazuri wa kusambaza elimu ya ufugaji wa kisasa katika ngazi ya familia na jamii nzima kwa ujumla…

27 March 2023, 2:43 pm

Biashara ya ufugaji wa njiwa na faida zake

Ufugaji wa njiwa ni moja kati ya biashara ambayo inaweza kusaidia baadhi ya watu kujinufaisha na kujikwamua kiuchumi. Na Thadei Tesha. Ufugaji wa njiwa ni moja kati ya biashara ambayo inaweza kusaidia baadhi ya watu kujinufaisha na kujikwamua kiuchumi. Bw.…

16 December 2022, 4:56 pm

Wafugaji Waomba Elimu Ili Kuboresha Shughuli Zao

  WAFUGAJI zaidi ya 100 kutoka katika kata zote 30 za Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora wameomba kupatiwa elimu ya ufugaji bora na maeneo ya malisho ili kuboresha shughuli zao ikiwemo kuongeza idadi ya mifugo ila sio kupunguza. Hayo yamebainishwa…