Dodoma FM

Je, jamii ina uelewa gani kuhusu saratani ya matiti?

18 September 2024, 7:42 pm

Picha kuonesha saratani ya matiti

Kwa mujibu wa takwimu za ufuatiliaji wa saratani kupitia ripoti ya utafiti ya Globocan zinaonesha kuwa nchini Tanzania takribani wagonjwa wapya wa saratani elfu 40 hugunduliwa kila mwaka na karibu jumla ya watu elfu 27 wenye saratani hufariki dunia kila mwaka .

Na Yusuph Hassan.

Licha ya elimu  kuendelea kutolewa juu ya ugonjwa saratani ya matiti bado jamii imekuwa haina uelewa wa kutosha juu ya ugonjwa huo.

Wanachi wakieleza juu ya uelewa wao kuhusu saratani ya matiti
Sauati za wananchi

Daktari Bingwa wa Upasuaji kutoka Hospitali ya Mkoa wa Dodoma Dkt. Pelauis Kato  amaeleza zaidi kuhusu saratani ya matiti ikiwa ni mohja ya jitihada za watabibu katika kutoa elimu.

Daktari Dkt Pelauis Kato ,Bingwa wa Upasuaji kutoka Hospitali ya Mkoa wa Dodoma
Sauti ya Daktari Dkt Pelauis Kato

Nchini Tanzania. inakadiriwa kuwa takribani ya wanawake 25% wamebainika  kuwa na Saratani ya mlango wa kizazi ikifuatiwa na Saratani ya matiti kwa 10%.