Dodoma FM

Kupata wasaa na mtoto ni kinga dhidi ya ukatili

11 September 2024, 7:36 pm

Baadhi ya wakazi wa Dodoma wamesema kuwa wazazi wengi hawatengi muda wa kuzungumza na watoto wao, jambo ambalo linawanyima nafasi ya watoto kueleza changamotozao kwa wazazi.

Na Lilian Leopold. Mara kadhaa Serikali pamoja na wadau mbalimbali wa kupinga masuala ya ukatili wamekuwa wakisisitiza wazazi kuwa na ukaribu na watoto wao ambapo  kutapunguza matukio ya ukatili katika jamii

Irene Daudi Mkazi wa Dodoma
Sauti ya Irene Daudi

Baadhi ya wakazi wa Dodoma wamesema kuwa wazazi wengi hawatengi muda wa kuzungumza na watoto wao, jambo ambalo linawanyima nafasi ya watoto kueleza changamotozao kwa wazazi.

Sauti za wananchi