Radio Tadio

Jamii

27 March 2024, 6:14 pm

Jamii yaaswa kuzingatia matumizi sahihi ya mitandao

Ulimwengu kwa sasa umeshuhudia ukuaji mkubwa wa matumizi ya teknolojia na pia intaneti Lakini watumiaji wengi wa teknolojia hizi wamekua katika hatari ya kuingia katika matumizi mabaya ya teknolojia hii kutoka na wizi na vitendo vya udhalilishaji vinavyoweza kutokea kupitia…

5 February 2024, 6:47 pm

Jamii yatakiwa kujitokeza kusaidia malezi

Kuna watoto wengi kwenye wanapitia changamoto ya kupata malezi inayotokana na ugumu wa maisha pamoja na wengine kukosa wazazi. Na Fred Cheti.Wito umetolewa kwa jamii kujitokeza kusaidia katika malezi kwa watoto wenye uhitaji wa huduma hiyo kwa kuwachukua na kuwapatia…

5 February 2024, 15:32

Viongozi wa dini wakemea ramli chonganishi Kigoma

Jamii imeshauriwa kutojihusisha na vitendo vya ramli chonganishi ambavyo vinafanywa na waganga wa kienyeji ili kuwatapeli wananchi. Na, Josephine Kiravu Viongozi wa dini Kutoka madhehebu mbalimbali Mkoani kigoma wamekemea vikali vitendo vinavyoendelea kufanywa na waganga wanaopiga ramli chonganishi maarufu kwa…

3 February 2024, 16:31

Kyela:Samia Mgeni rasmi maridhiano day Mbeya

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dokta Samia Suluhu Hasan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya mamaridhiano day itkayofanyika machi 3 2024 mkoani Mbeya.Na Masoud Maulid Kuelekea siku ya maadhimisho ya Maridhiano day yatakayofanyika march 3.2024 kamati ya…

31 January 2024, 10:08 pm

Watoto wadaiwa kutumika biashara ya dawa za kulevya

Watoto wamekuwa wakitumiwa kusafirisha dawa hizo na kuwasababishia athari mbalimbali. Na Thadei Tesha.Kundi la watoto limetajwa kutumika kwa sehemu kubwa katika biashara haramu ya usafirishaji wa dawa za kulevya nchini. Hayo yamesemwa na kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na…

January 31, 2024, 7:56 am

katika mwendelezo wa ziara za jukwaa la ustawi wa jamii Makete kutoa elimu ya malezi mkurugenzi mtendaji akiambatana na baadhi ya wataalam kutoka Halmashauri wametembelea kata ya Ipepo na kutoa msaada wa vifaa vya shule kwa watoto wanaotoka ktk mazingira…

January 30, 2024, 9:55 pm

Ded William Makufwe awataka watendaji kusimamia mapato

Kutokana na upotevu wa mapato Ded Makufwe amewataka Watendaji hususani katika maeneo yote yenye mageti kuahkikisha wanasimamia kikamilifu kudhibiti mianya yote ya utoroshaji wa mapato ambayo ndio uti wamgongo wa Halmashauri ya Makete na Mwandishi wetu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya…