Radio Tadio

Jamii

16 April 2025, 14:06 pm

Elimu na teknolojia saidizi kwa wenye ulemavu

Makala hii inalenga kuhamasisha jamii kuhusu haki ya watu wenye ulemavu kupata elimu na kutumia teknolojia saidizi kwa maendeleo yao binafsi na ya jamii kwa ujumla. Kupitia mfano wa Mwalimu Shazili Ali Namangupa wa Shule ya Msingi Nanguruwe, inaonyesha jinsi…

March 7, 2025, 2:08 pm

Wanawake Shinyanga kunufaika na mikopo ya 10%

wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mikopo isiyo na riba inayotolewa na Halmashauri ikiwa na Lengo la kuwainua kiuchumi kuliko kukimbilia mikopo ya kausha damu inayotolewa kwa masharti magumu pamoja na riba kubwa inayopelekea kudidimia kiuchumi Na Sebastian Mnakaya Mkuu wa…

5 March 2025, 1:00 pm

Tanzania yashiriki mkutano wa dunia wa mawasiliano ya simu

Wakati huo huo, Waziri Silaa ameshiriki Mjadala wa Kitaifa (National Dialogue Tanzania: Towards a Fully Digitalized Economy) katika kikao cha pembeni na Kampuni ya Watoa Huduma za Mawasiliano Duniani (GSMA) ambao ni waandaji wakuu wa mkutano wa MWC 2025. Na…

8 November 2024, 7:14 pm

TCRA yadhibiti utapeli  mtandao

Na Anwary Shabani                                                              Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kanda ya kati imedhibiti  uhalifu wa mitandao  kwa kiwango kikubwa kupitia Kampeni ya Ni Rahisi Sana. Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kanda ya kati Mhandisi Asajile John  amesema kuwa kampeni…