Jamii
7 July 2026, 15:20
Tanzania yataka ushirikiano katika utawala wa akili unde
Alisisitiza kuwa kuziba pengo la kidijitali kutahitaji hatua za pamoja ili kuhakikisha manufaa ya Akili Unde yanagawanywa kwa usawa kati ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea. Na Mariam Matundu. Tanzania imetoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano wa kimataifa ili kuhakikisha maendeleo…
25 June 2026, 8:44 am
Wajasiriamali Mbozi watakiwa kuchangamkia mikopo maalumu
Pichani ni Vijana wajasiliamali walioshiriki kwenye kongamano la vijana kata ya Hasanga. Picha na Mkaisa Mrisho Watakiwa Kuchangamkia Mikopo Maalumu Na Mkaisa Mrisho HASANGA WAJASIRIAMALI wadogo wilayani Mbozi mkoa wa Songwe wametakiwa kuchangamkia mikopo maalumu kwa ajili ya kundi hilo…
23 June 2026, 19:35
Wajane Ifakara wapinga mila kandamizi
Licha ya kuamini umoja kuwa sauti yao kukabiliana na changamoto hizo wameziomba mamlaka husika kuendelea kutoa elimu ya sheria za mirathi na haki za wajane ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyoendelea kujitokeza kwa baadhi ya watu Na Katalina Liombechi Wakati…
13 June 2026, 4:43 pm
Watatu wakamatwa kwa kutapeli wananchi Sengerema
Vishoka wawatapeli wananchi wakidai kuwaunganishia umeme maeneo ya vijijini Sengerema. Na Emmanuel Twimanye Watu watatu wamekamatwa katika kijiji cha Busulwangili, Kata ya Tabaruka, wilayani Sengerema mkoani Mwanza, kwa tuhuma za kuwatapeli fedha wananchi kwa lengo la kuwaunganishia umeme majumbani. Akizungumzia…
9 June 2026, 11:26
Washiriki wa UMISETA wafika mashindano ya Mkoa
UMISETA si mashindano ya michezo pekee bali ni chombo muhimu cha kukuza vipaji, nidhamu, afya, umoja na maendeleo ya wanafunzi Na Mwandishi wetu Kambi ya mashindano ya UMISETA Wilaya ya Uvinza imehitimishwa rasmi huku washiriki wakielekea Wilayani Kasulu kushiriki mashindano…
24 May 2026, 21:27
Watoto Zanzibar wadai sheria imara kulinda haki zao
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Siti Abasi Ali, amesema serikali inaendelea kuboresha Sheria ya Mtoto ili kuhakikisha watoto wanaishi katika mazingira salama na yenye ulinzi bora.Watoto kupitia mabaraza yao ya Unguja na Pemba…
24 May 2026, 09:53
Mufindi wajiandaa kuupokea Mwenge
Mwenge huo utatembelea kata zote za Wilaya ya Mufindi DC na Halmahauri ya Mji Mafinga kukagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo. Na Fredrick Siwale Wilaya ya Mufindi inatarajiwa kuupokea mwenge wa Uhuru tarehe 26/6/2026 ukitokea Mkoani Njombe kwa ajili ya…
20 May 2026, 7:01 pm
Wakulima zao la palachichi Mbozi (MAP) washauriwa kusajili kikundi
Chama cha Ushirika cha Msingi (AMCOS) kina fursa nyingi za kunufaisha wakukima. Na Stephano Simbeye KIKUNDI cha Wakulima wa zao la palachichi wilaya ya Mbozi (MAP) wameshauriwa kusajili kikundi hicho kuwa chama cha msingi cha Ushirika(AMCOS) ili waweze kunifaika na…
11 May 2026, 08:57
UVCCM Iringa yaanza maandalizi kuupokea Mwenge
“Ujio wa Mwenge wa Uhuru utasaidia kukagua miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Mufindi” Na Fredrick Siwale Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa umeanza kufanya Hamasa na maandalizi ya kuupokea Mwenge wa uhuru Mwaka…
6 May 2026, 17:02
Walimu watakiwa kuongoza mapinduzi ya kidigitali Nchini
Amehitimisha kwa kusema kuwa matumizi sahihi ya teknolojia ya mawasiliano yanaweza kurahisisha maisha, kuokoa muda na kuongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali za maendeleo. Na Anwary Shaban. Walimu nchini wametakiwa kuchukua jukumu kubwa katika kujenga kizazi chenye uelewa wa teknolojia na…