Jamii
23 June 2022, 2:43 pm
Wakazi wa mgodi wa Nholi waomba kupatiwa huduma za kijamii
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma za kijamii katika maeneo ya migodini kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali licha ya migodi kuwa chanzo cha mapato kwa serikali. Mkemia mkuu wa mgodi mwa Nholi Bw.Renatusi Lukumila amekiri kuwa mgodi wa Nholi bado miongoni…
7 June 2021, 1:02 pm
Waziri wa mawasiliano awataka watoa huduma za mawasiliano kuboresha huduma zao
Na; Shani Nicolous. Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Dkt.Faustine Ndugulile amewataka watoa huduma za mawasilian nchini kuboresha huduma zao na kudhibiti laini zote zilizosajiliwa kimakosa. Amesema hayo wakati akizungumza na watoa huduma za mawasilino nchini katika kikao kilichofanyika…
4 June 2021, 9:14 am
Dkt. Ndugulile ataka wasiolipa kodi waondolewe
Na; Mariam kasawa. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (kulia) akimsikiliza Meneja wa TEHAMA wa Shirika la Posta Tanzania Reuben Komba (kushoto) alipokuwa anawasilisha maelezo kuhusu mifumo ya TEHAMA iliyotengenezwa na Shirika hilo wakati wa…
26 May 2021, 12:59 pm
Wakazi Farkwa walazimika kupanda juu ya miti kupata mawasiliano ya simu
Na; Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Farkwa Wilaya ya Chemba wanakabiliwa na changamoto ya uhafifu wa mawasiliano ya simu za mkononi kutokana na uhaba wa minara Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa wanalazika kutafuta…
22 April 2021, 10:23 am
Vijana wajengewa uwezo kupitia shindano la usalama mtandaoni
Na; Mindi Joseph. Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema itaendelea kuboresha mawasiliano bora na salama kwa watumiaji kufuatia idadi ya watumiaji wa mtandao kufika milioni 27.9 Desemba 2020 mwaka ulio pita. Akizungumza wakati wa kufunga shindano la pili la masuala…