Radio Tadio

Jamii

23 February 2023, 9:24 pm

Sitaki niongoze wilaya ya watu wenye njaa : DC Bunda

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano amesema hataki kuongoza Wilaya ambayo watu wake Wana njaa Kauli hiyo ameitoa kwenye kikao Cha Baraza maalumu la madiwani lililoketi Juma hili kulijadili zoezi la Nyatwali Amesema katika maeneo mengi ya…

23 February 2023, 9:22 pm

DC Naano asema wakazi wa Nyatwali watapata haki zao

Mkuu wa wilaya ya Bunda mhe Dkt Vicent Naano amewatoa hofu madiwani  wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kuwa hoja zao juu ya suala la Nyatwali wamezichukua na watashauriana na mamlaka husika kuweza kupata muafaka uliyo sahihi. Mhe Dkt Naano…

22 February 2023, 11:26 am

Tasisi ya TAMWA na TUJIPE wapania kumaliza suala la udhalilishaji

NA Amina Masoud WAZAZI na walezi kisiwani Pemba wamezishukuru taasisi za kiharakati zinazo ongozwa na wanawake kwa kuwapatia elimu ya kutoa ushahidi Mahakamani ili kuepuka kumaliza kesi za udhalilishaji katika ngazi za familia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wazazi…

20 February 2023, 16:20

Mashekhe watakiwa kufanya kazi kwa weledi

Baadhi ya mashekhe wa kata wameshindwa kuwa na fikra ya utatuzi wa baadhi ya changamoto katika jamii ikiwemo masuala ndoa, migogoro ya kifamilia na kuwa na njia ya kuhakikisha ofisi za kata zinapatikana Na Seleman Kodima. Baraza la Waislamu Tanzania(BAKWATA)…