Radio Tadio

Jamii

11 Mei 2026, 08:57

UVCCM Iringa yaanza maandalizi kuupokea Mwenge

“Ujio wa Mwenge wa Uhuru utasaidia kukagua miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Mufindi” Na Fredrick Siwale Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa umeanza kufanya Hamasa na maandalizi ya kuupokea Mwenge wa uhuru Mwaka…

6 Mei 2026, 17:02

Walimu watakiwa kuongoza mapinduzi ya kidigitali Nchini

Amehitimisha kwa kusema kuwa matumizi sahihi ya teknolojia ya mawasiliano yanaweza kurahisisha maisha, kuokoa muda na kuongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali za maendeleo. Na Anwary Shaban. Walimu nchini wametakiwa kuchukua jukumu kubwa katika kujenga kizazi chenye uelewa wa teknolojia na…

Mei 2, 2026, 3:22 um

Taa za barabarani zaing’arisha Kibondo

Mkakati uliopo ni kuhakikisha mji wa Kibondo unakuwa na taa za kutosha zitakazoruhusu shughuli nyingine kufanyika hata majira ya usiku. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma kupitia wakala wa barabara za mijini na vijijini…

25 Machi 2026, 09:45

PAC: Serikali imarisha miundombinu ya mawasiliano

Wananchi wametakiwa kutumia fursa hiyo ya kiteknolojia kujikwamua kiuchumi na kulinda miundombinu hiyo dhidi ya uharibifu. Na Mariam Kasawa Serikali imetakiwa kuendelea kuimarisha usimamizi wa miundombinu ya mawasiliano nchini ili kuchochea kasi ya maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi wa vijijini.…

23 Machi 2026, 6:18 um

Mabinti 18 wanaoishi mazingira magumu Kahama wafadhiliwa masomo

Na Sebastian Mnakaya Zaidi ya mabinti 18 wanaoishi katika mazingira magumu halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamepatiwa ufadhili na serikali kusomeshwa katika elimu ya ufundi VETA kwa fani mbalimbali, ikiwemo ufundi cherehani na ususi. Akizungumza wakati wa kuwaaga…

20 Machi 2026, 9:18 um

Wanawake Kahama mguu sawa tuzo za ‘mwanamke mjasiriamali’

”Wajasiriamali wa wilaya ya Kahama, changamkieni fursa kupitia jukwaa la Mwanamke Mjasiriamali” Sebastian Mnakaya Wanawake wajasiriamali wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamezindua jukwaa lao la Mwanamke Mjasiriamali kwa lengo la kusaidiana katika shughuli zao za kujipatia vipato pamoja na mikopo isiyokuwa…

18 Febuari 2026, 16:55

TCRA yaimarisha dawati la huduma kwa wateja

Changamoto na mapendekezo yao kwa haraka zaidi, huku mifumo ya kidijitali ya ufuatiliaji ikihakikisha mawasiliano yanakuwa ya wakati na yenye tija. Na Yussuph Hassan.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeimarisha Dawati la Huduma kwa Wateja pamoja na mifumo ya ufuatiliaji wa…

2 Febuari 2026, 6:57 um

RC Songwe azindua gari SORECU

Hafla ya uzinduzi na kukabidhi gari ya SORECU. Na Devi Moses MKUU wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Makame, amezindua na kukabidhi gari la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU), lililonunuliwa kwa fedha za chama hicho, katika hafla…

30 Januari 2026, 17:32

Airtel yazindua minara mitano mipya nchini

Airtel Tanzania inaendelea kuipa kipaumbele upanuzi wa mtandao kama sehemu ya dhamira yake ya kukuza ujumuishi wa kidijitali, kuhakikisha wananchi wote nchini wanapata huduma za simu na intaneti zenye uhakika, gharama nafuu, na ubora wa juu. Na Bennard Komba Kampuni…