Radio Tadio

Jamii

21 December 2023, 9:52 pm

HRT watoa msaada kwa wanafunzi wenye uhitaji

Chama cha ushirika wa akiba na mikopo Hai Rural Teachers SACCOS (HRT) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kimetoa msaada wa sare za shule kwa wanafunzi wenye uhitaji kutoka shule 16 za wilaya ya Siha. Na Elizabeth Mafie Chama cha Ushirika wa …

17 December 2023, 10:59 am

Tulia asambaza ujumbe wa upendo kwenye jamii

katika kuhakikisha jamii inakuwa na usawa Taasisi ya Tulia Trust imeendelea kukipinda bendera ya yenye ujumbe wa upendo na kwa kuwatembelea watu wenye mahitaji mbalimbali wirayani Rungwe. Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Ttrust Joshua Mwakanolo akiwa na vijana pamoja…

16 December 2023, 1:58 pm

Wadau wa shirika la UZIKWASA wajivunia kubadilishana uzoefu

kukaa kwa pamoja imekuwa ni fursa ya kujifunza kutoka kwa wengine namna ambavyo waliweza kukabiliana na changamoto mbali mbali hali inayowezesha wengine kujifunza jinsi wenzao walivyofanikiwa. Na Catherine Sekibaha. Wadau wa washirika la UZIKWASA wamejivunia kubadilishana uzoefu kupitia mbinu wezeshi…

14 December 2023, 1:24 pm

Dc Mkalipa awataka vijana kuacha ulevi uliopitiliza

Mkuu wa wilaya ya Hai Amir Mkalipa amewataka vijana katika vijiji vya kata ya Machame Magharibi kuacha unywaji wa pombe uliopitiliza kwani vijana ni nguvu kazi ya Taifa. Na Elizabeth Mafie. Serikali Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro imewataka vijana kuacha tabia…

13 December 2023, 10:30 pm

Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji

Diwani awaandalia tafrija fupi watoto wenye uhitaji. Na Latifa Boto Diwani wa kata ya Masama Magharibi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Mashoya Natai ameitaka jamii kuwasaidia watoto wenye mahitaji mbalimbali hususani katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ili…

12 December 2023, 8:40 pm

Taasisi  binafsi zafundwa uandaaji wa mipango kazi

Mafunzo hayo yamewakutanisha wadau kutoka Asasi na Taasisi mbalimbali jijini Dodoma ili kuwajengea uwezo kuhusu upangaji wa mipango itakayo wawezesha kufanya kazi zenye tija kwa jamii. Na Mariam Kasawa. Taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kuandaa mipango kazi itakayo…