Jamii
28 December 2023, 17:59
Iponjola washiriki christmas kwa kuchimba shimo la maji
Na Hobokela lwinga Katika kuadhimisha sikukuu ya Krismas Mamia ya Wakazi wa kata ya Iponjola wilayani rungwe wameshiriki zoezi la Uchimbaji wa Shimo la maji taka katika kituo cha afya kilichopo katika kata yao. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni hatua…
27 December 2023, 21:30
Ibasa washerehekea Krismasi, mwaka mpya na wenye ualbino Kyela
Vifaa tiba pamoja na vifaa vya shule vyenye thamani ya shilingi milioni nne na laki tisa vimetolewa na umoja wa wanakyela waishio sehemu mbalimbali maarufu Ibasa katika kituo cha afya Njisi na sekaondari mpya ya njisi iliyoko kata ya Njisi…
23 December 2023, 14:49
Mwamengo atoa mkono wa faraja kwa watoto yatima 36 wilayani Kyela
Mkurungenzi wa kampuni ya ujenzi ya Basai General Supplies Limited Baraka Mwamengo ametoa jumla ya shilingi laki nane kwa watoto yatima 36 wanaolelewa na familia ya mwalimu Mwakibinga hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka…
21 December 2023, 9:52 pm
HRT watoa msaada kwa wanafunzi wenye uhitaji
Chama cha ushirika wa akiba na mikopo Hai Rural Teachers SACCOS (HRT) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kimetoa msaada wa sare za shule kwa wanafunzi wenye uhitaji kutoka shule 16 za wilaya ya Siha. Na Elizabeth Mafie Chama cha Ushirika wa …
19 December 2023, 19:23
Iringa watoa msaada wa tsh. 42,944,000 kwa waathirika mafuriko Hanang
Na Moses Mbwambo Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego akiwa ameambatana na viongozi wa Mbalimbali wa mkoa huo wakiwemo wakuu wa Wilaya Wakurugenzi viongozi wa Chama cha Mapinduzi na kamati ya ulinzi wametoa Mkono wa pole kwa Waathirika…
17 December 2023, 10:59 am
Tulia asambaza ujumbe wa upendo kwenye jamii
katika kuhakikisha jamii inakuwa na usawa Taasisi ya Tulia Trust imeendelea kukipinda bendera ya yenye ujumbe wa upendo na kwa kuwatembelea watu wenye mahitaji mbalimbali wirayani Rungwe. Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Ttrust Joshua Mwakanolo akiwa na vijana pamoja…
16 December 2023, 1:58 pm
Wadau wa shirika la UZIKWASA wajivunia kubadilishana uzoefu
kukaa kwa pamoja imekuwa ni fursa ya kujifunza kutoka kwa wengine namna ambavyo waliweza kukabiliana na changamoto mbali mbali hali inayowezesha wengine kujifunza jinsi wenzao walivyofanikiwa. Na Catherine Sekibaha. Wadau wa washirika la UZIKWASA wamejivunia kubadilishana uzoefu kupitia mbinu wezeshi…
14 December 2023, 1:24 pm
Dc Mkalipa awataka vijana kuacha ulevi uliopitiliza
Mkuu wa wilaya ya Hai Amir Mkalipa amewataka vijana katika vijiji vya kata ya Machame Magharibi kuacha unywaji wa pombe uliopitiliza kwani vijana ni nguvu kazi ya Taifa. Na Elizabeth Mafie. Serikali Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro imewataka vijana kuacha tabia…
13 December 2023, 10:30 pm
Jamii yatakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji
Diwani awaandalia tafrija fupi watoto wenye uhitaji. Na Latifa Boto Diwani wa kata ya Masama Magharibi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Mashoya Natai ameitaka jamii kuwasaidia watoto wenye mahitaji mbalimbali hususani katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ili…
12 December 2023, 8:40 pm
Taasisi binafsi zafundwa uandaaji wa mipango kazi
Mafunzo hayo yamewakutanisha wadau kutoka Asasi na Taasisi mbalimbali jijini Dodoma ili kuwajengea uwezo kuhusu upangaji wa mipango itakayo wawezesha kufanya kazi zenye tija kwa jamii. Na Mariam Kasawa. Taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kuandaa mipango kazi itakayo…