Jamii
20 May 2026, 7:01 pm
Wakulima zao la palachichi Mbozi (MAP) washauriwa kusajili kikundi
Chama cha Ushirika cha Msingi (AMCOS) kina fursa nyingi za kunufaisha wakukima. Na Stephano Simbeye KIKUNDI cha Wakulima wa zao la palachichi wilaya ya Mbozi (MAP) wameshauriwa kusajili kikundi hicho kuwa chama cha msingi cha Ushirika(AMCOS) ili waweze kunifaika na…
11 May 2026, 08:57
UVCCM Iringa yaanza maandalizi kuupokea Mwenge
“Ujio wa Mwenge wa Uhuru utasaidia kukagua miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Mufindi” Na Fredrick Siwale Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa umeanza kufanya Hamasa na maandalizi ya kuupokea Mwenge wa uhuru Mwaka…
6 May 2026, 17:02
Walimu watakiwa kuongoza mapinduzi ya kidigitali Nchini
Amehitimisha kwa kusema kuwa matumizi sahihi ya teknolojia ya mawasiliano yanaweza kurahisisha maisha, kuokoa muda na kuongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali za maendeleo. Na Anwary Shaban. Walimu nchini wametakiwa kuchukua jukumu kubwa katika kujenga kizazi chenye uelewa wa teknolojia na…
6 May 2026, 16:45
PSSSF yaboresha taarifa upatikanaji wa taarifa za mafao kupitia simu ya mkononi
Kwa sasa, wanachama wanaweza kutumia simu janja kuingia kwenye mfumo wa PSSSF (PSSSF Portal) kupitia google na kupata taarifa za michango yao kwa urahisi badala ya kufika ofisini, amewataka wananchi kuendelea kujisajili na kufurahia huduma za mfuko huo. Na Annwary…
May 2, 2026, 3:22 pm
Taa za barabarani zaing’arisha Kibondo
Mkakati uliopo ni kuhakikisha mji wa Kibondo unakuwa na taa za kutosha zitakazoruhusu shughuli nyingine kufanyika hata majira ya usiku. Na Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma kupitia wakala wa barabara za mijini na vijijini…
25 March 2026, 09:45
PAC: Serikali imarisha miundombinu ya mawasiliano
Wananchi wametakiwa kutumia fursa hiyo ya kiteknolojia kujikwamua kiuchumi na kulinda miundombinu hiyo dhidi ya uharibifu. Na Mariam Kasawa Serikali imetakiwa kuendelea kuimarisha usimamizi wa miundombinu ya mawasiliano nchini ili kuchochea kasi ya maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi wa vijijini.…
23 March 2026, 6:18 pm
Mabinti 18 wanaoishi mazingira magumu Kahama wafadhiliwa masomo
Na Sebastian Mnakaya Zaidi ya mabinti 18 wanaoishi katika mazingira magumu halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamepatiwa ufadhili na serikali kusomeshwa katika elimu ya ufundi VETA kwa fani mbalimbali, ikiwemo ufundi cherehani na ususi. Akizungumza wakati wa kuwaaga…
20 March 2026, 9:18 pm
Wanawake Kahama mguu sawa tuzo za ‘mwanamke mjasiriamali’
”Wajasiriamali wa wilaya ya Kahama, changamkieni fursa kupitia jukwaa la Mwanamke Mjasiriamali” Sebastian Mnakaya Wanawake wajasiriamali wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamezindua jukwaa lao la Mwanamke Mjasiriamali kwa lengo la kusaidiana katika shughuli zao za kujipatia vipato pamoja na mikopo isiyokuwa…
18 February 2026, 16:55
TCRA yaimarisha dawati la huduma kwa wateja
Changamoto na mapendekezo yao kwa haraka zaidi, huku mifumo ya kidijitali ya ufuatiliaji ikihakikisha mawasiliano yanakuwa ya wakati na yenye tija. Na Yussuph Hassan.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeimarisha Dawati la Huduma kwa Wateja pamoja na mifumo ya ufuatiliaji wa…
2 February 2026, 6:57 pm
RC Songwe azindua gari SORECU
Hafla ya uzinduzi na kukabidhi gari ya SORECU. Na Devi Moses MKUU wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Makame, amezindua na kukabidhi gari la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU), lililonunuliwa kwa fedha za chama hicho, katika hafla…