Radio Tadio

Jamii

12 December 2023, 12:59 pm

Taasisi ya Tulia Trust yadhamiria kuondoa umasikini kwenye jamii

kutokana na kuto kuwepo kwa usawa ndani ya jamii taasisi ya Tulia Trust imeendelea na kampeni yake ya kukimbiza Bendera ikiwa imebeba ujumbe wa upendo, usawa na uwajibikaji wa kuwatembelea wenye mahitaji maalumu wilayani Rungwe. RUNGWE..MBEYA Na lennox Mwamakula Taasisi…

7 December 2023, 9:47 pm

Miradi ya TASAF yakosa ushirikishwaji baina ya mfuko, viongozi na jamii

Aidha mabadiliko hayo ya malipo katika mfuko wa jamii wa kusaidia kaya maskini yalikuja yakiwa na lengo la kurahisisha utekelezi wa zoezi la utoaji fedha kwa walengwa. Na Victor Chigwada.                                      Imeelezwa kuwa kukosekana kwa nguvu ya ushirikishwaji katika miradi ya…

6 December 2023, 7:11 pm

Ajinyonga baada ya kutelekezewa watoto saba na mke wake

Matukio ya wanandoa kuachana yanazidi kushika kasi wilayani Sengerema huku yakitanjwa kuwa ndio chanzo kinacho pelekea vifo kwa baadhi yao baada ya kutalakiana kufuatia msongo wa mawazo na kusindwa kuvumilia maumivu . Na:Emmanuel Twimanye. Mwanaume mwenye umri wa miaka 37…

28 November 2023, 11:48

Mwanamke afariki akielekea kutibiwa hospitali

Na Frola Godwin Mwananke mmoja anayejulikana kwa majina ya Selina Kasekwa (69)amekutwa amefari katika mashamba ya Tazara yaliyopo Ikuti Iyunga jijini Mbeya. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya mashuhuda wamedai marehemu alikuwa mgonjwa hivyo kifo chake kimetokea wakati akijipeleka hospitali…