Radio Tadio

Jamii

8 July 2025, 7:56 pm

Mchele wageuka kuwa sabuni Katavi

Mwalimu Benjamin Chahe kutoka chuo Mkwawa V.T.C Iringa. Picha na Anna Mhina “Leo nimefurahi mchele kumbe ni sabuni!” Na Anna Mhina Wajasiriamali ambao wanapatiwa mafunzo ya ufugaji bora wa kuku, utengenezaji wa sabuni na batiki wameonesha kufurahia mafunzo ya utengenezaji…

8 July 2025, 16:18

Mabingwa wa ligi Burundi kuweka kambi Afrika Kusini

Timu ya Aigles Noirs CS kutoka Mkoa wa Makamba imeelekea Afrika Kusinini kwa ajili ya kambi ya kujianda na msimu wa mpya wa mwaka 2025/ 2026 Na Bukuru Daniel Timu ya Aigles Noirs CS kutoka mkoa wa Makamba imeondoka Jumanne,…

16 April 2025, 14:06

Elimu na teknolojia saidizi kwa wenye ulemavu

Makala hii inalenga kuhamasisha jamii kuhusu haki ya watu wenye ulemavu kupata elimu na kutumia teknolojia saidizi kwa maendeleo yao binafsi na ya jamii kwa ujumla. Kupitia mfano wa Mwalimu Shazili Ali Namangupa wa Shule ya Msingi Nanguruwe, inaonyesha jinsi…

7 March 2025, 2:08 pm

Wanawake Shinyanga kunufaika na mikopo ya 10%

wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mikopo isiyo na riba inayotolewa na Halmashauri ikiwa na Lengo la kuwainua kiuchumi kuliko kukimbilia mikopo ya kausha damu inayotolewa kwa masharti magumu pamoja na riba kubwa inayopelekea kudidimia kiuchumi Na Sebastian Mnakaya Mkuu wa…

5 March 2025, 13:00

Tanzania yashiriki mkutano wa dunia wa mawasiliano ya simu

Wakati huo huo, Waziri Silaa ameshiriki Mjadala wa Kitaifa (National Dialogue Tanzania: Towards a Fully Digitalized Economy) katika kikao cha pembeni na Kampuni ya Watoa Huduma za Mawasiliano Duniani (GSMA) ambao ni waandaji wakuu wa mkutano wa MWC 2025. Na…