Radio Tadio

Jamii

24 November 2023, 10:34 am

Tanganyika yanufaika na faida ya mauzo ya tumbaku

Uongozi wa Premium Active Tanzania wakikabidhi Mfano wa Hundi yenye Thamani ya Tshs Milion Hamsini na Laki Tatu Kwa Mkuu wa wilaya ya Tanganyika .Picha na Anna Milanzi Wasimamizi wahakikishe wanakabidhi akaunt za kata hizo kwa kampuni hiyo ili mchakato…

14 November 2023, 8:54 am

Mkurugenzi Sengerema aanza kutekeleza Agizo la Paul Makonda

Stendi ya Mwembe yanga ilikuwa msaada mkubwa kwa wananchi kutoka halmashauri ya Buchosa na Geita vijijini kwani hapo awali walikuwa wakiitumia stendi hiyo wanapokuja mjini Sengerema jambo ambalo liligeuka na kuleta changamoto kwa takribani mwaka mmoja baada ya kufunguliwa kwa…

4 November 2023, 10:14

DC Mbeya atoa onyo kali wanaotaka kuvuruga amani

Mwandishi Samweli Mpogole Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Beno Malisa ametoa angalizo kwa watu wanaotaka kuvuruga amani iliyopo na kuwataka kuacha mara moja kwani Mbeya ni kitovu cha amani na biashara Ameyazungumza hayo kwenye mahafali ya kuhitimu kwa mafunzo ya…

November 1, 2023, 1:19 pm

Mbunge Sanga akabidhi baiskeli kwa mlemavu Makete

baada ya wananchi wa kijiji cha kisinga kupaza sauti dhidi ya mlemavu Sinahabari mbunge wa jimbo la makete Festo Sanga kwa kushirikiana na wadau mbali mbali wamemkabidhi baiskeli yenye thamani ya shilingi milioni moja Na Ahazi Ndelwa. Mbunge wa jimbo…