Jamii
21 September 2023, 3:15 pm
Katazo la unyago laungwa mkono na baadhi ya wananchi
Inaelezwa kuwa baadhi ya tamaduni zimekuwa zikiwafundisha mabinti katika unyago mambo ambayo hayastahili. Na Khadija Ayoub. Wananchi jijini Dodoma wameonesha kuunga mkono katazo la mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwapelekea watoto wa kike katika unyago kwani ni kuwaonea na kuwanyima…
September 21, 2023, 10:29 am
waliokata rufaa Tasafu kuhakikiwa upya
kupitia rufaa ya wanufaika wa mpango wa Tasaf wilaya ya Makete,timu ya wataalamu kutoka Halmashauri ya wilaya ya Makete wameanza zoezi la kuhakiki taarifa katika baadhi ya kata za wilaya ya Makete. na Aldo Sanga TASAF Wilaya ya Makete imeanza…
19 September 2023, 2:46 pm
Serikali yaombwa kutunga sheria kali dhidi ya wanaotelekeza familia
Hayo yamaebainishwa na wananchi wilayani Bahi wakati wakizungumza katika mdahalo wa wazi ulioandaliwa na kipindi cha Sakuka na kufanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. Na Alfred Bulahya. Wananchi wilayani Bahi mkoani Dodoma wameiomba serikali na bunge kutunga sheria kali kuhusu watu…
18 September 2023, 4:52 pm
Jamii yatakiwa kuwajali yatima na wajane
Katika tukio hilo Jumuiya ya wanawake wakiislamu Tanzania JUWAKITA wilaya ya Dodoma ililenga kuwa pamoja na Wajane 50 na Yatima 100 ikiwa ni muendelezo wa Kutenda Matendo Mema kwa Jamii . Na Seleman Kodima. Jamii imekumbushwa kuwajali,Kuwasaidia na kuwatazama zaidi…
17 September 2023, 15:37
Vikoba vyawa mkombozi kwa wanawake wilayani Kyela
Vikoba wilayani Kyela vimetajwa kuwa chanzo kikuu cha kuinua uchumi kwa wanawake na kupelekea kujikwamua kiuchumi na kuwa tegemezi kwenye familia. Na Secilia Mkini Imeelezwa kuwa vikoba kwa wanawake ni njia mojawapo inayoinua uchumi kwa wanawake kwani huwasaidia katika kuendesha…
15 September 2023, 12:58 pm
Lumuli kuwamlika watoto yatima Rungwe
Jamii inatakiwa kuwalea na kuwalinda watoto yatima katika maeneo yao ikiwa ni pamoja na kuwalea katika mazingira yenye usalama kwao. Na Lennox Mwamakula Ili kukabiliana na wimbi la watoto waishio katika mazingira magumu uongozi wa kijiji na kata ya Ndanto…
15 September 2023, 8:02 am
Taasisi, viongozi wa dini washirikishwe kutoa elimu anuani za makazi
Ufunguzi wa mafunzo ya kujenga uwezo kuhusu mfumo wa anuani za makazi kwa maafisa tarafa watendaji wa kata,na wenyeviti wa mitaa umefunguliwa leo katika ukumbi wa chuo cha mipango jijini Dodoma ambapo unatarajia kufanyika kwa muda wa siku mbili. Na…
13 September 2023, 4:59 pm
Nini kinapelekea baadhi ya wazazi kutelekeza familia
Leo mchanyato upo Bahi kuzungumza na Jane Mgidange ambaye ni mratibu wa Elimu jumuishi Wilaya Ya Bahi Kufahamu zaidi nini sababu za kutelekeza familia. Na Leonard Mwacha. leo tunaangazia sababu za kutelekeza familia ambapo jamii inahusika moja kwa moja kabla…
12 September 2023, 15:23
CCM kuendelea kuisimamia serikali utekelezaji miradi
Na Kelvin Mickdady Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Mufindi Ndugu. George Kavenuke amesema chama kitaendelea kuisimamia serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Kavenuke ameyasema hayo akiwa kwenye hafla ya kukabidhi majengo ya zahanati na nyumba ya mganga…
11 September 2023, 12:50
Wananchi jijini Mbeya wakanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni tatizo la maji
Kumekuwa na mkanganyiko juu ya upatikanaji wa maji baadhi ya maeneo mkoani Mbeya hasa kipindi hiki cha kiangazi kitendo kinachopelekea baadhi ya wananchi kulalamika kukosekana kwa maji. Na Samweli Ndoni Baadhi ya wananchi wa kata za Isanga na Iganzo wamekanusha…