Radio Tadio

Jamii

7 September 2023, 1:00 pm

Maafisa ustawi jamii watakiwa kutoa elimu ya afya ya akili

Mkutano wa Maafisa ustawi wa jamii umefunguliwa jana jijini Dodoma ambao utadumu kwa muda wa siku mbili na kuwakutanisha maafisa ustawi wa jamii Nchi nzima ili kujadili namna ya kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi. Na Yussuph Hassan. Maafisa ustawi wa…

5 September 2023, 3:35 pm

Watoto wasaidiwe kuvuka barabara ili kuepusha ajali

Kundi la watoto ni miongoni mwa makundi yanayohitaji misaada hususani pale wanapokuwa katika maeneo ya barabara ili kuepukana na ajali zinazoweza kutokea. Na Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kushiriki katika suala la kuwasadia watoto pale wanapoelekea shuleni na maeneo mengine ya…

30 August 2023, 12:52

Tanzania, Burundi kukabiliana na ajali Ziwa Tanganyika

Katika kukabiliana na ajali ndani ya Ziwa Tanganyika Serikali ya Tanzania na Burundi zimeonyesha nia ya kushirikiana kutoa elimu ya matumizi ya vifaa vya usafirishaji ndani ya ziwa. Na, Tryphone Odace Nchi za Tanzania na Burundi zimeanza kuchukua hatua za…

30 August 2023, 12:49 pm

Auawa akidaiwa shilingi elfu 5 Geita

Matukio ya vijana kudhuriana wao kwa wao kwasababu ya pesa yanaongezeka siku hadi siku, hiyo imepelekea ACP Safia Jondo kuwashauri wazazi kufuatilia mienendo ya vijana wao na watu wao wa karibu. Na Amon Bebe- Geita Kijana mmoja mkazi wa mtaa…

27 August 2023, 3:21 pm

Kijana ajinyonga Pemba

Na Is-haka Mohammed Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Moh’d Omar Juma maarufu Magodoro   anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mkaazi wa Machomanne Kilimo amefariki dunia baada ya kuonekana akining’inia katika chumba kwa kujinyonga. Khamis Issa Moh`d ni Mwanafamilia  wa…

18 August 2023, 10:21

RC Kigoma apiga marufuku ramli chonganishi

Na, Tryphone Odace Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye amewataka viongozi wa Serikali za mitaa kuchukua hatua za kisheria haraka kwa watu wanaojihusisha na upigaji wa ramli chonganishi kwani imekuwa…

15 August 2023, 4:58 pm

Sabra Machano arudishwa kazini

Na Ivan Mapunda. Aliyekuwa Mkurugenzi Muendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar  ZSSF Sabra Issa Machano amefutiwa mashtaka ya ubadhilifu wa fedha  wa bilioni 3 . Akizungumza na Zenj fm mkurugenzi wa taasisi ya Warrior Women Sabra Issa Machano amesema amepokea barua…