Radio Tadio

Jamii

31 July 2023, 6:33 pm

Wazazi, walezi watakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu

Jamii imeendelea kusisitizwa kutowaficha watoto wenye changamoto ya ulemavu wowote bali iwaweke wazi ili waweze kupatiwa mahitaji ya msingi ikiwemo elimu. Na Pius Jayunga. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka wazazi na…

26 July 2023, 5:50 pm

Wanachama wa Yanga Mpanda Wafanya Matendo ya Huruma

KATAVI Baadhi ya wanachama na mashabiki wa klabu ya Yanga Mkoa wa Katavi wamefanya matendo ya huruma katika kilele cha wiki ya wananchi kwa kuchangia damu na kutoa msaada kwenye kituo cha kulelea watoto yatima. Wakizungumza na Mpanda radio Fm…

20 July 2023, 11:05 am

Mkuu wa mkoa Geita akagua miradi ya mwenge Mbogwe

Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita yajipanga kuupokea mwenge wa uhuru kwa kuanza ukaguzi katika miradi yote itakayopitiwa. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela ameiongoza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa, Kamati ya Ulinzi na Usalama…

13 July 2023, 10:10 am

Afunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja

MPANDA Athumani Juma Mohamed Yengayenga (35), mkazi wa Shanwe manispaa ya Mpanda mkoani Katavi amefunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo. Akizungumzia ndoa yake Yengayenga…

4 July 2023, 7:28 pm

Mitaala mipya ni chachu ya vijana kujiajiri

Serikali ilitoa fursa kwa wananchi kutoa maoni yao juu ya maboresho ya rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na rasimu ya Mitaala ya elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Ualimu. Na Aisha Shaban.…