Jamii
31 July 2023, 6:33 pm
Wazazi, walezi watakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu
Jamii imeendelea kusisitizwa kutowaficha watoto wenye changamoto ya ulemavu wowote bali iwaweke wazi ili waweze kupatiwa mahitaji ya msingi ikiwemo elimu. Na Pius Jayunga. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka wazazi na…
26 July 2023, 5:50 pm
Wanachama wa Yanga Mpanda Wafanya Matendo ya Huruma
KATAVI Baadhi ya wanachama na mashabiki wa klabu ya Yanga Mkoa wa Katavi wamefanya matendo ya huruma katika kilele cha wiki ya wananchi kwa kuchangia damu na kutoa msaada kwenye kituo cha kulelea watoto yatima. Wakizungumza na Mpanda radio Fm…
25 July 2023, 3:46 pm
Wananchi watakiwa kuunga mkono juhudi za kupinga vitendo visivyo na maadili
Mara kadhaa jamii imeendelea kuhamasishwa na serikali pamoja na taasisi mbalimbali juu ya umuhimu wa kufundisha maadili mema ndani ya jamii ili kujenga kizazi chenye misingi bora ya malezi. Na Aisha Shaban. Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kuunga mkono juhudi za…
20 July 2023, 11:05 am
Mkuu wa mkoa Geita akagua miradi ya mwenge Mbogwe
Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita yajipanga kuupokea mwenge wa uhuru kwa kuanza ukaguzi katika miradi yote itakayopitiwa. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela ameiongoza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa, Kamati ya Ulinzi na Usalama…
19 July 2023, 7:42 pm
Jamii yatakiwa kushirikiana na wadau kuibua changamoto zilizopo katika shule
AFNET limendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za shule Mkoani Dodoma kuhusu uendeshaji na usimamizi wa shule.Picha na George John. Shirika lisilo la kiserikali linalopinga ukatili wa kijinsia na watoto AFNET limendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za shule mkoani…
18 July 2023, 9:42 pm
Bulaya awashika mkono kituo cha kulea watoto yatima Bunda
Bulaya atembelea kituo cha watoto yatima na mazingira magumu St. Francis na kusaidia mahitaji mbalimbali kama sukari, mchele, unga na mafuta Na Edward Lucas Mbunge wa Viti Maalumu na ambaye pia amewahi kuwa Mbunge wa Bunda Mjini, Mh Ester Amos…
13 July 2023, 13:15
Aliyefariki miaka 29 iliyopita apatikana akiwa hai, akabidhiwa kwa ndugu Kibondo
Wananchi wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kutohusianisha tukio la kijana aliyefariki na kupatikana akiwa hai mkoani Tabora na imani za kishirikina. Na James Jovin Serikali wilayani Kibondo mkoani Kigoma imemkabidhi kijana Daniel Gastoni mwenye umri wa miaka 35 kwa ndugu…
13 July 2023, 10:10 am
Afunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja
MPANDA Athumani Juma Mohamed Yengayenga (35), mkazi wa Shanwe manispaa ya Mpanda mkoani Katavi amefunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo. Akizungumzia ndoa yake Yengayenga…
6 July 2023, 7:04 am
Watumishi wapya watakiwa kuitumikia jamii kwa kuzingatia uadilifu
Watumishi wapya kutoka Idara za Afya ,Elimu msingi na sekondari wametakiwa kujua kuwa wana jukumu la kutumikia jamii pamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kutimiza majukumu yao ipasavyo ili kuleta maendeleo chanya kwa jamii ya Kilosa. Na Gladys…
4 July 2023, 7:28 pm
Mitaala mipya ni chachu ya vijana kujiajiri
Serikali ilitoa fursa kwa wananchi kutoa maoni yao juu ya maboresho ya rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na rasimu ya Mitaala ya elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Ualimu. Na Aisha Shaban.…