Jamii
4 July 2023, 2:28 pm
Aoza pua baada ya kupondwa na kokoto
Na Amos Inega Minga Rajabu mkazi wa kijiji cha Kazima kata ya Ifucha Manispaa ya Tabora ameomba msaada kwa wasamalia wema baada ya kuishi kwa maumivu zaidi ya miaka 10 kutokana na kuoza pua baada ya kujeruhiwa na kipande cha…
28 June 2023, 4:25 pm
Serikali kuzitumia ripoti za uwajibikaji kukuza utawala bora
Taasisi ya Wajibu wamezindua Ripoti za Uwajibikaji ambapo ni nne ikiwemo Ripoti ya viashiria vya Rushwa, ubadhirifu na Udanganyifu katika Taasisi za Umma, Ripoti ya uwajibikaji wa Vyombo vya Usimamizi kwa Taasisi za Umma. Na Seleman Kodima. Naibu katibu mkuu…
28 June 2023, 2:30 pm
Jamii inaamini nini kuhusu waraibu wa dawa za kulevya?
Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…
June 27, 2023, 4:50 pm
Wanufaika TASAF Makete waishukuru serikali
Wanufaika wa mradi wa kunusuru kaya Maskini Kijiji cha Ivilikinge waeleza mafanikio ya mradi huo na kuishukuru Serikali kwa kuwasaidia wazee
27 June 2023, 4:25 pm
Polisi Iringa wakabidhiwa pikipiki za kisasa 10
Na Adelphina Kutika. Jeshi la polisi mkoa wa Iringa limepokea msaada wa pikipiki 10 za kisasa zenye thamani ya shilingi milioni 55 na uzinduzi wa jengo la kantini yenye thamani ya shilingi milioni 45 kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo…
26 June 2023, 12:17 pm
Wazazi watakiwa kuwajali watoto wenye ulemavu
Wazazi wanakumbushwa kuendelea kuwajali watoto wenye ulemavu kwa kuhakikisha wanapata mahitaji yao muhimu ili waweze kutimiza ndoto zao. Na Mariam Kasawa. Wazazi wametakiwa kuwajali na kuwathamini watoto wenye ulemavu kwa kuwapatia elimu ili waweze kutimiza ndoto zao . Ni katika…
22 June 2023, 3:18 pm
Wabobezi wa masuala ya jinsia waagizwa kutambua ahadi za nchi
Programu hiyo ya kizazi chenye usawa itakayotekelezwa kwa miaka mitano (2021/22 – 2025/26). Na Mariam Matundu. Wataalamu wabobezi wa masuala ya jinsia wameagizwa kutambua masuala yaliyowekewa Ahadi za nchi katika Jukwaa la kizazi chenye Usawa (GEF) ili kutekeleza Programu ya…
21 June 2023, 4:21 pm
Serikali kuwashughulikia waajiri sugu wanaodaiwa michango ya wafanyakazi
Serikali imeanzisha mifuko ya hifadhi ya jamii kwa ajili ya kulipa mafao ya mtumishi pindi mfanyakazi anapostaafu au kuacha kazi. Na Mindi Joseph. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi ameagiza wakurugenzi…
June 13, 2023, 8:10 am
Aliyedhaniwa kufariki juzi na kufufuka, afariki leo
Taarifa rasmi za kifo cha Bi. Felister Sanga aliyesingiziwa kufariki na kufufuka, afariki leo kijiji cha Ipepo Wilayani Makete Mkoani Njombe
10 June 2023, 7:28 am
Watalaam wa afya toka hospitali ya Rufaa Iringa watoa msaada kituo cha IOP
Na Ansigary Kimendo Madaktari na wataalam mbalimbali wa afya kutoka hospitali ya rufaa mkoa wa Iringa, wametembelea kituo cha kulea watoto yatima cha Ilula Orphan Program (IOP) na kutoa mahitaji mbalimbali ikiwemo Chakula. Wamesema lengo ni kuifikia jamii yenye uhitaji…