Radio Tadio

Jamii

4 July 2023, 2:28 pm

Aoza pua baada ya kupondwa na kokoto

Na Amos Inega Minga Rajabu mkazi wa kijiji cha Kazima kata ya Ifucha Manispaa ya Tabora ameomba msaada kwa wasamalia wema baada ya kuishi kwa maumivu zaidi ya miaka 10 kutokana na kuoza pua baada ya kujeruhiwa na kipande cha…

28 June 2023, 4:25 pm

Serikali kuzitumia ripoti za uwajibikaji kukuza utawala bora

Taasisi ya Wajibu wamezindua Ripoti za Uwajibikaji ambapo ni nne ikiwemo Ripoti ya viashiria vya Rushwa, ubadhirifu na Udanganyifu katika Taasisi za Umma, Ripoti  ya uwajibikaji wa Vyombo vya Usimamizi kwa Taasisi za Umma. Na Seleman Kodima.  Naibu katibu mkuu…

28 June 2023, 2:30 pm

Jamii inaamini nini kuhusu waraibu wa dawa za kulevya?

Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…

27 June 2023, 4:25 pm

Polisi Iringa wakabidhiwa pikipiki za kisasa 10

Na Adelphina Kutika. Jeshi la polisi mkoa wa Iringa limepokea msaada wa pikipiki 10 za kisasa zenye thamani ya shilingi milioni 55 na uzinduzi wa jengo la kantini yenye thamani ya shilingi milioni 45 kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo…

26 June 2023, 12:17 pm

Wazazi watakiwa kuwajali watoto wenye ulemavu

Wazazi wanakumbushwa kuendelea kuwajali watoto wenye ulemavu kwa kuhakikisha wanapata mahitaji yao muhimu ili waweze kutimiza ndoto zao. Na Mariam Kasawa. Wazazi wametakiwa kuwajali na kuwathamini watoto wenye ulemavu kwa kuwapatia elimu ili waweze kutimiza ndoto zao . Ni katika…

22 June 2023, 3:18 pm

Wabobezi wa masuala ya jinsia waagizwa kutambua ahadi za nchi

Programu hiyo ya kizazi chenye usawa itakayotekelezwa kwa miaka mitano (2021/22 – 2025/26). Na Mariam Matundu. Wataalamu wabobezi wa masuala ya jinsia wameagizwa kutambua masuala yaliyowekewa Ahadi za nchi katika Jukwaa la kizazi chenye Usawa (GEF) ili kutekeleza Programu ya…