Jamii
6 May 2023, 6:47 am
CCM Katavi Kukemea Mmomonyoko wa Maadili
NSIMBO Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Katavi kupitia Kwa Mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa Girbert Samnpa ametoa Wito kwa Jumuiya ya wa wazazi ya Chama hicho kuungana na serikali katika kukemea Mmomonyoko wa Maadili katika Jamii. Ametoa wito huo…
3 May 2023, 5:11 pm
Wananchi kibaigwa wafunguka kero wanazo pata katika huduma za jamii
Shilingi milioni 150 imetengwa kwaajili ya kuongeza vifaa tiba ambapo kabla ya kufika mwezi wa Saba mwaka huu kituo cha afya kibaigwa kitaanza kutoa huduma za upasuaji. NA, Bernadetha Mwakilabi. Wakazi wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kibaigwa ulioko wilayani…
3 May 2023, 4:39 pm
Vijana waonywa kuporomoka kwa Maadili
Wamewashauri wazazi kukagua matumizi ya vipindi vya Televisheni majumbani mwao ili kuwaepusha watoto na vipindi viovu vinavyoweza kuharibu maadili yao. Na Bernad Magawa. Katika kuhakikisha kuwa Taifa linaendelea kuwa na vijana wenye maadili, baadhi ya wazee Wilayani Bahi wameiomba serikali…
1 May 2023, 3:45 pm
Serikali kuboresha Ranchi ili kupanua soko nje ya nchi
Akisoma taarifa meneja wa Ranchi ya Kongwa bwana Elisa Binamungu amesema shilingi bilioni 4.65 zilitengwa Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kuboresha ranchi hiyo ikiwa ni pamoja na kutengeneza Barabara, kuondoa vichaka hekari 8000 kwaajili ya kustawisha mifugo. NA Bernadetha Mwakilabi.…
21 April 2023, 3:02 pm
Wanufaika Tasaf walalamika malipo kuchelewa
Mpaka sasa miradi hiyo ipo katika hatua nzuri za utekelezaji kwani hadi kufikia julai mwaka huu wataanza kutekeleza awamu ya pili ya miradi hiyo. Na Bernadetha Mwakilabi Wanufaika wa mfuko wa kusaidia kaya masikini TASAF wilayani Kongwa wamelalamikia Kuchelewa kwa…
21 April 2023, 1:40 pm
Waislamu watakiwa kusheherekea sikukuu kwa amani na upendo
Waislamu Duniani Kote wanatarajia kusheherekea sikukuu ya EID siku ya kesho siku ya jumamosi . Na Fred Cheti. Kuelekea sikukuu ya Eid El Fitr wito umetolewa kwa waumini wa dini ya kiislamu pamoja na wananchi wote Mkoani Dodoma kusheherekea siku…
18 April 2023, 3:39 pm
Dc kongwa akerwa na ubadhirifu wa fedha 6,394,000/=
Katika taarifa iliyosomwa inaonyesha kiasi cha shilingi milioni 6,394,000 hazijathibitika matumizi yake NA Bernadetha Mwakilabi, Kongwa Mkuu wa wilaya ya Kongwa Mheshimiwa Remidius Mwema Emmanuel ameagiza ofisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU wilaya ya Kongwa kufanya uchunguzi juu…
17 April 2023, 9:15 PM
TCB Bank yatoa msaada shule ya sekondari Nangomba
NANYUMBU Tanzania Commercial BankTawi la Wilaya ya Masasi Mjini leo imetoa msaada wa viti ,menza na kabati za kutunzia vifaa katika maktaba ya shule ya sekondari nangomba kama ilivyo sesturi waliojiwekea kama bank kurudisha faida kwenye jamii walicho vuna, mradi…
17 April 2023, 2:20 pm
Yafahamu maajabu na ishara za mnyama adimu Kakakuona
Mnyama huyu anapo onekana katikajamii nini huwa kinafanyika. Na Yussuph Hassan. Jamii nyingi huamini ishara za mnyama huyo kwani anapo onekana wanajamii huwa na hamu ya kufamamu ni nini ambacho atatabiri katika jamii hiyo hivyo hufanya mila ikiwemo kupiga ngoma…
17 April 2023, 12:08 pm
Waziri Masauni awataka Wazazi kusimamia maadili kwa watoto
Maadili yameshuka kwa Kasi hivyo ni jukumu la wazazi na walezi kuwalea watoto kwa kufuata misingi ya Dini. Na Hafidh Ally Wazazi wametakiwa kuwale watoto katika Maadili Mema ili kuwaepusha watoto na matukio ya ukatili dhidi ya watoto yanayosababishwa na…