Radio Tadio

Jamii

6 June 2023, 6:46 pm

Jamii yashauriwa kujenga tabia ya kufanya tafiti mbalimbali

Mradi wa ALiVE-Tanzania una lengo la kufanya tafiti na  kupima stadi za maisha na maadili kwa vijana Nchini. Na Fred Cheti. Jamii imeshauriwa kujenga desturiĀ  ya kufanya tafiti mbalimbali katika maeneo yao na kubaini changamoto zilizopo ili kupunguza baadhi ya…

5 June 2023, 6:16 pm

NIDA, shirika la Posta waingia ubia usambazaji vitambulisho

NIDA imeingia ubia na shirika la Posta katika zoezi la usambazaji wa vitambulisho. Na Bernadetha Mwakilabi. Wananchi wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya vitambulisho vya taifa (NIDA) ikiwa ni njia pekee ya kufanikisha lengo la serikali la kuboresha utoaji wa huduma…

23 May 2023, 3:52 pm

Miaka 65 ya ndoa: Wafariki na kuzikwa siku moja

Tukio hilo la aina yake limewatafakarisha watu wengi maeneo hayo huku wengine wakidai ni msiba wa aina yake ambao umevuta hisia za watu wengi na kuweka historia kwa waombolezaji waliofika msibani hapo. Na. Bernad Magawa . Katika hali ambayo si…

22 May 2023, 4:41 pm

DC Kongwa: Ni haki ya wananchi kujua mapato na matumizi

Wananchi wametakiwa kuhoji jambo lolote kwa viongozi wao ambalo hawalielewi ili waweze kupatiwa ufumbuzi. Na Bernadetha Mwakilabi. Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Kongwa Dkt. Omary Nkullo amewataka wananchi, wenyeviti wa vijiji na vitongoji kuhakikisha wanahudhuria mikutano ya baraza la…

17 May 2023, 3:03 pm

NIDA yatoa vitambulisho 62,258 Kongwa

Changamoto wanazopitia wananchi katika vitambulisho vya Taifa ni pamoja na kushindwa kutimiza vigezo na masharti ya kujaza fomu za kuomba vitambulisho hivyo hali inayopelekea ofisi kushindwa kufanya kazi yake kwa ufanisi. Na Bernadetha Mwakilabi. Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA)…

11 May 2023, 9:48 am

Wananchi wa Kitelewasi hawana imani na uongozi wa Kijiji

Wananchi wa kijiji cha kitelewasi Kilichopo Kata ya Ilole wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wamesema hawana imaniĀ  na uongozi wa serikali ya kijiji hicho kutokana na ubadhilifu wa fedha. Wakizungumza katika mtukutano wa hadhara wanakijiji hao  wameiomba serikali kuwatafutia ufumbuzi…