Dodoma FM

Mitazamo hasi inayowakwamisha wanawake kugombea nafasi za uongozi

30 July 2024, 7:04 pm

Picha ni Dr Helen Kijo Bisimba mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu. Picha na EATV.

CLARA MCHUNGUZI Afisa Miradi kutoka Shirika la Restless Development anaelezea zaidi.

Na Mariam Matundu.

Bado tunatuzunguza kuhusu uongozi wa serikali za mitaa na leo tunaangazia mitazamo hasi inavyowakwamisha wanawake kugombea nafasi hizo .