Dodoma FM

Recent posts

14 June 2023, 3:24 pm

Asilimia 97 watumiaji dawa wamefanikiwa kufubaza virusi vya Ukimwi

Waziri Ummy ametoa wito kwa Watanzania kwenda kupima kujua hali zao lakini kwa ambao wanajua hali zao dawa za UKIMWI zipo na zinatolewa bila malipo na vipimo vya kujipima mwenyewe vipo kwahiyo Watanzania wajitokeze kupima ili tutokomeze UKIMWI ifikapo mwaka…

14 June 2023, 12:10 pm

Viongozi kanisa katoliki waaswa kudumisha amani, baraka

Viongozi wamekumbushwa kuwa na mshikamo ili kuepusha migongano mbalimbali isiyokuwa ya lazima. Na Bernad Magawa. Viongozi wa kanisa jimbo kuu katoliki Dodoma wameaswa kuwa wasikilizaji wazuri wa shida za wale wanaowaongoza huku wakikumbushwa kufanya utafiti wa kina kabla wa kutolea…

13 June 2023, 1:55 pm

Elimu ya TEHAMA yachochea idadi ya wasichana nyanja ya teknolojia

Na Mindi Joseph. Wanafunzi wa kike wamesema uwepo wa elimu ya TEHAMA inayotolewa na wadau imechochea kuongeza idadi ya wasichana kwenye nyanja ya teknolojia. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya Mnadani sekondari wamesema elimu hiyo…

9 June 2023, 3:22 pm

Utiaji saini makabidhiano mradi wa maji kutoka RUWASA kwenda DUWASA

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Kongwa Mheshimiwa White Zuberi amesema kuwa Serikali inawajali na kuwathamini wananchi wake ndio maana inapambana kuzitatua changamoto za Maji. Na Bernadetha Mwakilabi. Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Kongwa Dkt. Omary Nkullo amesema kuwa ni…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger