Dodoma FM

Recent posts

30 June 2023, 5:02 pm

Dodoma: Wafanyabiashara waomba kuboreshewa mazingira

Katika eneo hilo zipo daladala zinazoelekea maeneo mbalimbali nje ya jiji ikiwemo Mpunguzi ambapo pia wapo baadhi ya akina mama na wafanyabiashara wadogo wanaojishughulisha na biashara katika eneo hili ingawa hali ya upatikanaji wa wateja sio ya kuridhisha. Na Thadei…

30 June 2023, 4:34 pm

Wizara ya Ardhi yajadili namna ya kumaliza migogoro ya ardhi Dodoma

Juni 30 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula atakutana na wananchi jijini Dodoma Kusikiliza changamoto za upatikanaji wa hatimiliki ya ardhi. Na Mindi Joseph. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula…

30 June 2023, 3:43 pm

UVCCM kuitangaza Kongwa

Amesema jumuiya ya vijana ni tegemeo kwa chama inaweza kuleta vuguvugu la maendeleo hivyo kama vijana wanahakikisha wanakuwa na maadili mshikamano na mahusiano mazuri kwa Chama na Serikali. Na Bernadetha Mwakilabi. Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha…

28 June 2023, 5:41 pm

Milioni 560 kutatua kero ya maji Bahi

Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama umeendelea kuwa changamoto katika baadhi ya vijiji mkoani Dodoma. Na Mindi Joseph. Milioni 560 zinatarajiwa kutumika katika kuchimba kisima cha maji ndani ya kijiji cha Uhelela wilayani Bahi mkoani Dodoma ambacho kitahudumia…

28 June 2023, 5:09 pm

Kamati za shule zatakiwa kuwashirikisha wazazi kuleta mabadiliko

Ahadi hiyo wameitoa  wakati wa kufungwa kwa mafunzo ya uwajibikaji na ufatiliaji kwa jamii yaliyotolewa na shirika lisilo la kiserikali la AFNET kuanzia 27-28 Juni jijini Dodoma. Na Seleman Kodima. Wajumbe wa kamati za shule katika kata nne wilayani Chamwino…

28 June 2023, 4:25 pm

Serikali kuzitumia ripoti za uwajibikaji kukuza utawala bora

Taasisi ya Wajibu wamezindua Ripoti za Uwajibikaji ambapo ni nne ikiwemo Ripoti ya viashiria vya Rushwa, ubadhirifu na Udanganyifu katika Taasisi za Umma, Ripoti  ya uwajibikaji wa Vyombo vya Usimamizi kwa Taasisi za Umma. Na Seleman Kodima.  Naibu katibu mkuu…

28 June 2023, 2:30 pm

Jamii inaamini nini kuhusu waraibu wa dawa za kulevya?

Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…

27 June 2023, 6:28 pm

Serikali yaondoa tozo miamala ya kutuma fedha kwa njia ya simu

Mkoa wa Dodoma umebahatika kupata minara 36 huku 6 ikijengwa na Vodacom. Na Mindi Joseph. Serikali imeondoa tozo kwenye miamala ya kutuma fedha katika mitandao mbalimbali ya simu ili kuondoa adha kwa watazania. Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na…

27 June 2023, 5:08 pm

Jumuiya za watumia maji Mpwapwa zatakiwa kuunganisha nguvu na serikali

Amewataka watendeji kuendelea kusisitiza suala la utunzaji wa mazingira ili kuokoa vizazi vya sasa na vijavyo. Na Fred Cheti. Jumuiya za watumia maji katika halmsahuri ya wilaya ya Mpwapwa zimeaswa kuunganisha nguvu na serikali kwa kutoa ushirikiano utaokaosaidia kuundwa utaratibu…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger