Dodoma FM
Dodoma FM
18 July 2023, 2:39 pm
Mh. Senyamule ameonesha kuridhishwa na utekelezaji wa ujenzi huo ambapo ametoa rai kwa wasimamizi kuongeza kasi ili yakamilike kabla ya tarehe 30 Mwezi huu. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameridhishwa na utekelezaji wa ujenzi…
18 July 2023, 12:52 pm
Mbunge wa Bahi amesema kipaumbele chake ni kuhakikisha afya ya mama na mtoto inakuwa salama. Na Bernad Magawa. Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Fatuma Taufiq amewaasa wanawake wilayani Bahi kusimamia maadili ya watoto ili kutokomeza viashiria vya…
14 July 2023, 7:33 pm
Mradi huu wa Uboreshaji usalama wa milki za ardhi unagharamiwa na Serikali kuu kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na katika Halmashauri ya Wilaya ya chamwino Mradi huo utatekelezwa katika vijiji 60 vilivyopo wilayani humo Na Seleman Kodima. Mkuu wa…
14 July 2023, 6:45 pm
Na Yussuph Hassan. Ugonjwa wa saratani ya jicho kwa watoto ni ugonjwa ugonjwa wa kurithi ambapo Dkt Japhet Bright Bingwa wa Mgonjwa ya Macho kutoka Hospital ya rufaa ya Dodoma anazungumzia nini cha kufanya ili kuepuakana na ugonjwa huo.
14 July 2023, 5:32 pm
Wakandarasi wazalendo nchini wameiomba serikali kuwapatia miradi mikubwa ili kutoa ajira kwa watanzania wengi. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema kuwa serikali hasa ya Mkoa wa Dodoma itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakandarasi wazawa…
14 July 2023, 4:44 pm
Zao la alizeti limekuwa maarufu kutokana na mafuta yake kupendwa na watu wengi kwa sababu hayachanganywi na kemikali yoyote na bei yake imekuwa ikipanda na kushuka lakini Mei 29 2023 Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde alisema Serikali ipo mbioni…
13 July 2023, 5:58 pm
Dkt Japhet Bright Bingwa wa Mgonjwa ya Macho kutoka Hospital ya rufaa ya Dodoma anaeleza juu ya matibabu ya ugonjwa huo. Na Yussuph Hassan. Leo tunazungumzia utaratibu wa matibabu ya ugonjwa wa saratani ya jicho kulingana na dalili mbalimbali tukiungana…
13 July 2023, 4:10 pm
Wanafunzi wametakiwa kusoma kwa bidii ili kukutana na fursa nyingine za kielimu. Na Fred Cheti Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amekoshwa na ufaulu wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Amani Abeid Karume iliyopo katika kata ya Pahi…
13 July 2023, 12:00 pm
Upigaji kura unafanyika katika vituo vilivyotumika wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 na mpiga kura aliyepoteza kadi au kadi yake kuharibika ataruhusiwa kutumia kitambulisho mbadala iwapo tu atakuwa ameandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura . Na Mindi…
12 July 2023, 4:28 pm
Saratani ya jicho kwa watoto ambapo huanzia miezi kumi na nane na huonekana zaidi kwa watoto chini ya miaka mitano. Na Yussuph Hassan. Baada ya kufahamu juu ya utambuzi wa Ugonjwa wa saratani ya jicho kwa watoto ambapo huanzia miezi…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-