Dodoma FM
Dodoma FM
19 November 2025, 2:16 pm

Mwandishi wetu Selemani Kodima ametuandalia Uchambuzi mfupi
Na Seleman Kodima.
Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kuwaapisha mawaziri 27 na manaibu 29 wa baraza jipya la Mawaziri ,ipo mitazamo tofauti juu ya Baraza hilo.
Mwandishi wetu Selemani Kodima ametuandalia Uchambuzi mfupi juu ya baraza jipya la Mawaziri.