Dodoma FM

Wasimamizi wa uchaguzi Dodoma waelezea hali ya maandalizi kuelekea uchaguzi mkuu

28 October 2025, 3:44 pm

Waandshi wamezungumza na baadhi ya wasimamizi ili kujua hali ya maandalizi ipoje.Picha na Blogsport.

Na Waandishi wetu.
Kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika siku ya kesho, ambayo ni 29 Oktoba, waandishi wa habari wamefanya mahojiano na wasimamizi wa uchaguzi mkoa wa Dodoma ili kufahamu maandalizi yapoje mpaka mpaka sasa.

Tunaungana na Selemani Kodima ambaye amezungumza na Msimamizi wa Uchaguzi Vicent Mashauri, jimbo la Kondoa DC

Sauti ya Seleman Kodima.

Baada ya kumsikiliza Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kondoa DC, tunaungana na Mariam Matundu amezungumza na Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Bahi.

Sauti ya Mariam Matundu.

Tunahitimisha na Lilian Leopold ambaye amezungumza na Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Dodoma mjini.

Sauti ya Lilian Leopold