Dodoma FM
Dodoma FM
30 July 2025, 1:53 pm

Aina ya malezi wanayopitia baadhi ya wanaume wakati wa utoto wao yanaweza kuwa sababu ya changamoto ya afya ya akili.
Na Seleman Kodima.
Imeelezwa kuwa aina ya malezi wanayopitia baadhi ya wanaume wakati wa utoto wao yanaweza kuwa sababu ya changamoto ya afya ya akili kwao kwa siku za baadae.
Awali nilizungumza na mtaalamu wa saikolojia Peter Njau ambao ameeleza kuwa changamoto ya afya ya akili kwa wanaume ni kubwa kuliko kwa wanawake ambapo sababu ya malezi ni chanzo kikuu cha matatizo hayo.