Dodoma FM
Dodoma FM
18 April 2024, 6:27 pm

Kijana huyo ambae alitenda kosa hilo wiki chache zilizopita kwa madai kwamba bibi yake alikuwa akimroga asifanikiwe kimaisha jana amepandishwa kizimbani na kusomewa shitaka lake ambapo kesi imeahirishwa .