Dodoma FM
Dodoma FM
18/04/2024, 18:27

Kijana huyo ambae alitenda kosa hilo wiki chache zilizopita kwa madai kwamba bibi yake alikuwa akimroga asifanikiwe kimaisha jana amepandishwa kizimbani na kusomewa shitaka lake ambapo kesi imeahirishwa .