Dodoma FM
Dodoma FM
28 November 2023, 6:11 pm

Na Mariam Matundu.
Tukiwa bado katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia leo tunakuuliza ni njia gani ya haraka unaweza kuitumia kuripoti vitendo vya ukatili ?
Leonard mwacha amezungumza na mkuu wa dawati la jinsia na watoto mkoa wa Dodoma Theresia Mdendemi na ameanza kuuliza ni njia gani za haraka za kuripoti matukio ya ukatili.