Dodoma FM
Dodoma FM
21 May 2021, 12:43 pm
Na; Yussuph Hans Katika kuhakikisha inawakomboa wanawake wanaobebeshwa mimba na kutelekezwa, Serikali imeahidi kusimamia ipasavyo sheria ya mtoto ya mwaka 2009 inayotoa maelekezo juu ya matunzo ya mtoto kwa wazazi wote wawili. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu…
21 May 2021, 12:29 pm
Na; Shani Nicolous Wito umetolewa kwa madereva wa vyombo vya moto kuzingatia maadili ya miziki inayopigwa pamoja na video katika vyombo vyao vya usafiri ili kutokuharibu mila na desturi za kitanzania. Wito huo umetolewa na Bw. Leo Ngowi ambaye Kaimu…
21 May 2021, 12:15 pm
Na; Thadey Tesha Vijana jijini Dodoma wamezitaka taasisi za maendeleo ya vijana kuwapa elimu na kuwahamasisha kuchukua mkopo wa asilimia mbili unaotolewa na Halmashauri kwa ajili ya kuwawezesha kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza na Dodoma fm vijana hao wamesema wanashindwa kunufaika na…
21 May 2021, 10:21 am
Na; Benard Filbert Wakazi wa mtaa wa Swaswa Kata ya Ipagala jijini Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano kwa wakandarasi wa umeme ambao wamekuwa wakiweka nguzo kwa ajili ya usambazaji umeme wa REA awamu ya tatu. Hayo yemesemwa na mwenyekiti wa mtaa…
20 May 2021, 2:31 pm
Na;MARIAM MATUNDU. Ikiwa leo ni siku ya vipimo Duniani wakala wa vipimo Mkoani Dodoma wametembelea na kufanya ukaguzi wa mizani katika maeneo ya hospitali na sehemu za kufanyia mazoezi. Akizungumza katika ukaguzi huo kaimu meneja wa wakala wa vipimo Mkoa…
20 May 2021, 2:06 pm
Yussuph Hans Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan, amesema mradi mkubwa wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga utasaidia kuvuta Wawekezaji Ukanda wa Afrika Mashariki, kuongeza ajira pamoja na pato la Taifa. Amebainisha hayo…
20 May 2021, 1:44 pm
Na ;Benard Filbert. Uchakavu wa miundombinu ya maji katika Kata ya Keikei Wilayani Kondoa imetajwa kuwa sababu inayochangia kukosekana kwa huduma ya maji. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Kata hiyo wakati wakizungumza na taswira ya habari kuhusu sababu…
20 May 2021, 1:27 pm
NA ;SHANI NICOLOUS. Wananchi wametakiwa kufichua mambo ambayo ni uvunjivu wa sheria inayokiuka haki za binadamu na utawala bora . Wito huo umetolewa na Mohamed Hamis ambaye ni makamu mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na utawala bora wakati…
19 May 2021, 1:50 pm
Na; Shani Nicolous Wakazi wa mtaa wa Mtube Kata ya Nkuhungu jijini Dodoma wameelezea changamoto wanazokutana nazo kufuatia makazi yao kujaa maji wakati wa msimu wa mvua na kulazimika kuhamishiwa katika makazi ya muda. Wakizungumza na taswira ya habari wakazi…
19 May 2021, 1:39 pm
Na; Yussuph Hans Wakuu wa Mikoa wametakiwa kusimamia uchumi wa Nchi kwa kushughulika na Viongozi wazembe, kuheshimu Miiko ya kazi pamoja na kutatua Changamoto za Wananchi. Akizungumza mara baada hafla ya uapisho wa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Taasisi…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-