Dodoma FM
Dodoma FM
24 February 2023, 3:05 pm
Mradi wa uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi una lengo la kwenda kuongeza idadi ya miamala itokanayo na nyaraka za umiliki. Na Selemani Kodima Wizara ya ardhi kupitia ofisi ya Ardhi mkoa wa Dodoma imeanza majaribio ya mradi wa Uboreshaji…
23 February 2023, 5:13 pm
Mamlaka ya Serikali Mtandao ina mpango wa kuhakikisha inajenga Serikali ya Kidijiti Katika kipindi cha miaka 10 ijayo. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imesema Katika kipindi cha miaka 10 ijayo itahakikisha huduma za mtandao maeneo yote zinapatikana.…
23 February 2023, 4:46 pm
hati miliki zina faida nyingi kwa Serikali na wananchi ikiwemo kupata fursa za mikopo katika ofisi za kifedha. Na Benadetha Mwakilabi. Wananchi wameelezwa umuhimu na utaratibu wa kupata hati miliki za ardhi ili ziweze kuwasaidia katika fursa mbalimbali ikiwemo mikopo.…
23 February 2023, 3:44 pm
Lazima tufanye mazoezi ya kiroho kwa kutubu kidogo kidogo na hatimaye tuweze kuacha dhambi kabisa, tusikubali kurudia katika dhambi. Na Bernad Magawa Wito umetolewa kwa wakristo kukitumia vizuri kipindi cha kwaresma kuwa kipindi cha kufanya toba, kujipatanisha kiroho na kumrudia…
23 February 2023, 3:19 pm
Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa mikoa inayotegemewa zaidi katika zalishaji wa mafuta ya alizeti. Na FRED CHETI Upatikanaji mzuri wa mbegu za alizeti katika kijiji cha Dabalo wilayani Chamwino umetajwa kuwa chachu kwa wakulima wengi ndani ya kijiji hicho…
22 February 2023, 5:38 pm
Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo. Na Victor Chigwada. Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo ya elimu katika kata ya Chilonwa Wilaya…
22 February 2023, 4:40 pm
Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga wilayani Bahi mkoani Dodoma wameiomba serikali wilayani humo kuwatengea eneo rasmi la kufanyia biashara. Na Bernad Magawa. Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga wilayani Bahi mkoani Dodoma wameiomba serikali wilayani humo kuwatengea eneo rasmi la kufanyia…
22 February 2023, 1:00 pm
Simulizi hii inatufafanulia masuala ya fimbo zilizokuwa zikimilikiwa na watemi wa kabila la wagogo na majaabu ya fimbo hizo. Na Yusuph Hassan. Chifu Lazaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu himaya ya Bwibwi jijini Dodoma amesimulia simulizi hiyo ya…
21 February 2023, 3:32 pm
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka mpango maalumu wa kusaidia kaya masikini ambao utaleta ahueni. Na Bernad Magawa. Wanufaika wa mpango wa TASAF katika kijiji cha Bahi Sokoni wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma wameishukuru serikali ya Jamhuri ya…
21 February 2023, 2:25 pm
Kuibuka kwa wimbi kubwa la matapeli kwa njia ya mitandao ya simu ,imetajwa kusababisha baadhi ya watu kupoteza fedha na mali kwa watu wasiojulikana. Na Victor Chigwada. Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya Habari kuzungumza na Baadhi ya wananchi wa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-