Dodoma FM
Dodoma FM
9 March 2023, 4:35 pm
Uongozi umetoa pongezi kwa wananchi wa kata ya Itiso wilayani Chamwino kwa juhudi kubwa wanayoifanya ya ujenzi wa Vyumba vya madarasa . Na Victor Chigwada. Uongozi wa Kata ya Itiso wilayani Chamwino umetoa pongezi kwa wananchi wa kata hiyo kwa…
9 March 2023, 3:46 pm
Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wamesema kazi wanayoifanya ni kazi rasmi na kuwahamasisha vijana wasio na ajira kuacha kukaa vijiweni bali watafute hata kazi ya bodaboda ili wajikimu kimaisha. Na Benard Magawa. Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani…
9 March 2023, 3:28 pm
Kituo kidogo cha daladala katika eneo la swaswa mnarani jijini dodoma imetajwa kuwa na fursa kubwa kwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo kujipatia kipato. Na Thadei Tesha. Uwepo wa kituo kidogo cha daladala katika eneo la swaswa mnarani jijini…
9 March 2023, 12:39 pm
Mh. Rosemary Senyamule ametatua mgogoro wa wakulima na wafugaji wa vijiji vya Izava na Chitego vilivyopo katika wilaya za Kongwa na Chamwino. Na Alfred Bulahya. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule ametatua mgogoro wa wakulima na wafugaji wa…
9 March 2023, 12:00 pm
TPF Net limesema limejipanga kushirikiana na wadau mbalimbali katika kudhibiti na kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia. Na Fredi Cheti. Jeshi la Polisi nchini kupitia Mtandao wa polisi wanawake nchini TPF Net limesema limejipanga kushirikiana na wadau mbalimbali katika kudhibiti…
8 March 2023, 5:01 pm
Wanawake wa kata ya Bahi wilayani Bahi wamezungumzia ushiriki mdogo wa wanawake katika nafasi mbalimbali za uongozi. Na Benard Magawa. Katika kusherehekea maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani ambayo hufanyika machi 8 ya kila mwaka, wanawake wa kata ya Bahi…
8 March 2023, 4:04 pm
Wanawake wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kukemea na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyo endelea katika jamii. Na Mariam Kasawa. Wanawake wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kukemea na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyo endelea katika…
8 March 2023, 1:40 pm
Wananchi wa Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameishukuru Serikali kwa jitihada za kuboresha huduma za afya kwa kuwasaidia ujenzi. Na Victor chigwada. Wananchi wa Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameishukuru Serikali kwa jitihada za kuboresha huduma za afya…
8 March 2023, 12:52 pm
Wananchi wamejikuta wakiingiwa na taharuki kufuatia maeneo wanayoyamiliki yakiwemo mashamba kukutwa yakipimwa na kutaka kuuzwa bila kuwepo kwa taarifa yoyote. Na Fred Cheti. Wananchi wa Mitaa wa Chihikwi, Nala, pamoja na Ndachi jijini Dodoma wamejikuta wakiingiwa na taharuki kufuatia maeneo…
8 March 2023, 11:19 am
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa linatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA). Na Mindi Joseph. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa inatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) katika…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-