Dodoma FM
Dodoma FM
20 March 2023, 3:07 pm
Wakazi walalamika kutumia maji ya mto kizigo ambayo sio safi na salama baaada ya kuharibika kwa mashine ya kusukuma maji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Chinugulu wilayani chamwino wamelalamika kutumia maji ya mto kizigo ambayo sio safi na…
17 March 2023, 5:30 pm
Leo imetimia miaka miwili tangu alipofariki Dunia Rais wa Serikali ya awamu ya Tano, Dkt John Pombe Magufu. Na Fred Cheti. Ikiwa leo imepita miaka miwili tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati John Pombe…
17 March 2023, 5:04 pm
Kwa mujibu wa makadirio ya shirika la afya duniani WHO Sababu kubwa zikiwa ni mtoto wa jicho na shinikizo la macho. Na Mindi Joseph. Watu wenye matatizo ya kuona kwa kiwangao cha kati na cha juu hapa nchini wanakadiriwa kuwa…
17 March 2023, 4:34 pm
Barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami inagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 38 na hadi kufikia mwezi Feburuary ujenzi umefikia asilimia 4. Na Mindi Joseph. Jumla ya wananchi 1522 Mkoani Dodoma wanatarajiwa kulipwa fidia ya shilingi bilioni 10 ili kupisha…
17 March 2023, 4:27 pm
Serikali kupitia wizara ya kilimo imeanza kulifufua shamba la Zabibu lililopo eneo la Chinangali 2 mkoani Dodoma, ufufuaji wa shamba hilo unakwenda sambamba na ujenzi wa kiwanda kikubwa kwa ajili ya kuchakata zabibu hizo. Na Alfred Bulahya. Serikali kupitia wizara…
17 March 2023, 4:04 pm
Baadhi ya wazazi wanadai elimu zote mbili zina umuhimu huku wengine wakibainisha kuwa walimu pia wanachangia kuongeza kwa utoro shuleni. Na Nizar Khalfan. Zoezi la ukamataji la wazazi wa wanafunzi watoro limeanza wilayani kondoa ambapo zaidi ya wazazi kumi na…
17 March 2023, 3:15 pm
Ni marufuku watu wa jinsia moja kulala kwenye chumba kimoja, badala yake sheria imeruhusu watu wawili wa jinsia tofauti kulala chumba kimoja lakini waliohalalishwa kwa mujibu wa imani yao. Na Benard Magawa. Mkuu wa Jeshi la Polisi wilaya ya Bahi…
16 March 2023, 4:51 pm
Nini kifanye ili kutoa mwamko kwa jamii hasa kuanzia ngazi za familia na mitaa katika kuripoti matukio ya ukatili. Na Fred Cheti Jamii yatakiwa kuona umuhimu wa kushiriki katika kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia yanayotokea katika maeneo yao. Hayo…
16 March 2023, 3:39 pm
ni vema wazazi kupunguza tabia ya kuwa wakali kwa watoto wao na badala yake wajenge urafiki kwa kuzungumza nao mara kwa mara ili wasiwaogope , bali wawe huru kwa wazazi wao kueleza changamoto mbalimbali. Na Benard Magawa Mkuu wa Wilaya…
16 March 2023, 8:36 am
Awali daldala za jiji la dodoma zilikuwa na kituo kikuu katika soko la sabasaba kabla ya kuhamishiwa kituo katika soko jipya la machinga complex. Na Thadei Tesha. Zikiwa zimepita wiki chache tangu kuhamishwa kwa daldala katika eneo la sabsaba jijini…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-