Dodoma FM
Dodoma FM
22 March 2023, 6:26 pm
Ugonjwa huu huambukizwa kutoka kwa Binadamu mmoja kwa mwingine hususani kwa njia ya kugusa majimaji ambayo yanaweza kuwa mate , mkojo, damu, machozi au kinyesi yatokayo kwenye maiti au Mgonjwa mwenye dalili, maambukizi pia yanaweza kutoka kwa Wanyama kwenda kwa…
22 March 2023, 3:46 pm
Immelezwa kuwa watu wenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kifua kikuu(TB) ni pamoja na wale wanaoishi katika makazi duni, Watoto, Wavuvi na wanafunzi wanaoishi bweni. Serikali imedhamiria kuendelea kushirikiana na wadau katika sekta zote ili kudhibiti na kutokomeza ugonjwa…
21 March 2023, 6:12 pm
Kwa mujibu wa wa wataalamu wa afya ubuyu ni tunda jamii ya adonsonia ambapo umekuwa na matumizi mbalimbali kwani wapo baadhi yao hutumia kama juisi na wengine huongezea thamani kwa kutengenezea bidhaa mathalani kashata au ubuyu wa rangi. Na Thadei…
21 March 2023, 5:39 pm
Na Pius Jayunga. Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka Wataalamu wa Afya kutomchukia pindi anapofanya maamuzi ya kumtoa Mganga Mkuu wa Wilaya kwani hufanya hivyo kwa nia njema ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi. Dkt. Mollel ametoa…
21 March 2023, 5:06 pm
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Gondwe ametoa maelekezo kwa wahandisi wanaosimamia mradi wa reli ya treni ya Mwendo kasi kuhakikisha wanashughulikia kero wananchi ambao hadi sasa hawajalipwa fidia za ardhi. Na Bernad Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa…
21 March 2023, 4:50 pm
Baada ya mgogoro wa ardhi wa muda mrefu kutatuliwa hatimaye zoezi la upimaji limeanza rasmi katika eneo hilo. Na Nizar Mafita. Siku chache baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kutatua mgogoro wa ardhi…
20 March 2023, 5:35 pm
Baadhi ya wananchi jijini dodoma wameeleza namna hali ilivyo juu ya upatikanaji wa bidhaa za vyakula masokoni kuelekea mwezi wa ramadhani. Na Thadei Tesha. Kuelekea maandalizi ya mwezi mtukufu wa ramadhani baadhi ya wananchi jijini dodoma wameeleza namna hali ilivyo…
20 March 2023, 4:17 pm
Mwekezaji huyo anaedaiwa kuingilia mpaka wa eneo la shule hiyo anadai kuuziwa eneo hilo na halamshauri husika. Na Fredi Cheti. Uongozi wa shule za Ephiphany zilizopo kata ya Mwegamile Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma umejikuta ukiingia katika mgogoro wa kugombania mpaka…
20 March 2023, 3:35 pm
Kukosekana kwa upendo na uaminifu limetajwa kuwa chanzo kikubwa Cha wanaume kutowajibika katika malezi na matunzo ya familia zao. Bernadetha Mwakilabi. Tukiwa katika mwezi wa wanawake kukosekana kwa upendo na uaminifu limetajwa kuwa chanzo kikubwa Cha wanaume kutowajibika katika malezi…
20 March 2023, 3:25 pm
Jiji la Dodoma linakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji tani 114 na Kata za mjini uzalisha ni tani 236. Na Mindi Joseph. Utupaji wa taka Ngumu Ovyo umetajwa kuwa na…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-